King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 140
..........Katika wiki ya Kwanza hapa Chuo kikuu Cha Dar Es Salaam kama wanavyoita kwa lugha ya Kiingereza "ORIENTATION WEEK" Wakufunzi mbalimbali walipewa muda wa kutoa nasaha mbalimbali kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza 2012/2013. ila cha kushanganza wakufunzi hawa walionesha majigambo kuhusu chuo chao na kuponda vyuo vingine. kuna mkufunzi mmoja alisema hivi namnukuu:-
"...............Mimi ni bora kuniachisha kazi kuliko kunipeleka kusomesha katika vyuo kama vile UDOM, SAUT ama MZUMBE................."
Mimi nilitegemea mkufunzi huyu aoneshe njia za kufanya ili vyuo vingine hapa Tanzania viweze kufikiA HADHI YA CHUO KIKUU CHA mLIMANI..
Kama nitakuwa nimekurupuka wanisamehe hawa WAKUFUNZI...............!!!!!
"...............Mimi ni bora kuniachisha kazi kuliko kunipeleka kusomesha katika vyuo kama vile UDOM, SAUT ama MZUMBE................."
Mimi nilitegemea mkufunzi huyu aoneshe njia za kufanya ili vyuo vingine hapa Tanzania viweze kufikiA HADHI YA CHUO KIKUU CHA mLIMANI..
Kama nitakuwa nimekurupuka wanisamehe hawa WAKUFUNZI...............!!!!!