Kwenye mfumo mbovu hata mtu mwaminifu anakuwa mwizi, lakini kwenye mfumo imara hata mtu mwizi anakuwa mwaminifu !
Serikali za ulaya hazikumbani na matatizo kama haya kwa kuwa mifumo yao ni imara.
Kwetu TZ mfumo imara ni ngumu kupatikana kwa kuwa mifumo mibovu ina manufaa makubwa kwa hao wakubwa wenye hiyo dhamana ya kubadili mifumo.
From me Goodrich, 05 May 2012.
Mbowe alisema kuwa uteuzi wa Dk. Hussein Mwinyi anayeingia bungeni akitokea Jimbo la Kwahani Zanzibar kuwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, haukuwa sahihi, kwani wizara hiyo si ya Muungano.