Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Huyu Mama kuliko nimpigie kura heri nimpigie kura mwingine iharibike, Tumekuwa na Rais mwongo na mawaziri waongo waongo. Kwanza mama hakai nchini kama alivyokuwaga Kikwete tu,hawa watu wa Pwani wanapenda sana mizaha na kuzurura hawajawahi kuwa serious.
Mawaziri wake waongo waongo tu na wasanii, sukari hadi leo halijashuka, naibu waziri wa nishati alisema mgao mwisho februry 16, halafu wanakuja kusema siyo February ya mwaka huu.
Hivi nye wanachama wa CCM hamwoni ugumu wa maisha? Au majumbani na kazini kwenu mna majenereta? Na bado mnasifia uongozi wa mama na hawa mawaziri wake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawaziri wake waongo waongo tu na wasanii, sukari hadi leo halijashuka, naibu waziri wa nishati alisema mgao mwisho februry 16, halafu wanakuja kusema siyo February ya mwaka huu.
Hivi nye wanachama wa CCM hamwoni ugumu wa maisha? Au majumbani na kazini kwenu mna majenereta? Na bado mnasifia uongozi wa mama na hawa mawaziri wake?
Sent using Jamii Forums mobile app