Bado nasisistiza, wanaume wasitie neno humu, kitakachowapata wasije wakanilaumu!
Zinduna nipo shost, si unajua tena mambo ya mkate yamenichukulia muda hasa ukizingatia ni J3, Nimeona ya kimakonde nikitulia ntakuletea ya kimanyema na kitusi ili kukazia.
Mimi nataka hiyo ya Kitusi.
Tatizo wengi wao ni wanaume wanaingia kwa ID za kike sasa wakichangiaMbona wanawake hawachangii huu uzi jamani,
Nitawaambia MODS wauondoe kama hamtaki kuchangia.....EBO! Cantalisia , Preta , King'asti , Kipipi Asnam TaiJike MwanajamiiOne , na wengineo mko wapiiii!