Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,336
halafu we zinduna,huko unyagoni ndiko ulifunzwa niniliyu kuifunika kwa laptop?
Hivi weweee
halafu we zinduna,huko unyagoni ndiko ulifunzwa niniliyu kuifunika kwa laptop?
hujambo kipipi? ushawasiliana na Erickb52 leo?
Hao wote uliowaorodhesha ni ANAHAKU. Lizzy peke yake ndio kifaa.
Na kuhusu mkwara wako hapa umenoa, majipu tayari ninayo, tena makubwa ya haja. Ukitaka naweza kukuruhusu uone yanavyoning'inia chini ya filimbi shaka hayana
mjasiria Ina maana hata Kina AshaDii na RussianRoulette wame - boycot?
Siwataki kabisa ME kwenye huu uzi, wataharibu miiko ya wahenga wa unyago.
mamma mia,ulipotelea wapi Mother Theresa!Habari yako Zinduna.... Thanks for the thread and kunishtua.... Hatuja boycott dear, maana hii kitu ni maalum kwetu, Asante for the thread. Najaribu kufikiria nini niongeze, na what I can come up with ni kua haya mambo yana umuhimu na faida zake pia.... naona inaenda inapotea katka jamii sasa... RussianRoulette my alter hayupo online... ila nimem mention laters akija hapa namuachia jukumu la kuongea vilivo.
mamma mia,ulipotelea wapi Mother Theresa!
Nilidhani umejipiga life ban kama mpendwa wetu husninyo.
Bi mkubwa yaani Likolo hutengeneza imale. Likolo hujipaka imale maungoni mwake na mwa walombo wengine ili kujikinga wasije wakapata upofu wa macho katika kushirikiana nao.
BADILI TABIA PM zmekuwa nyingi, wakina ANAHAKU wanataka darsa la unyago liendelee kesho ili wamudu kuokoa ndoa na mahusiano na wenza wao.mie nasubiria darasa la wiki ijayo