Wasome Wanawake tu: Siri za unyago wa Kimakonde!

kuna siku mwanamke wa kimakonde kidogo anitegue kiuno,ilibidi anifunge na khanga ili anipandishe na kunishusha kwa usalama.

Huna adabu Bishanga nakufaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:
Mbona wanawake hawachangii huu uzi jamani,
Nitawaambia MODS wauondoe kama hamtaki kuchangia.....EBO! Cantalisia , Preta , King'asti , Kipipi Asnam TaiJike MwanajamiiOne , na wengineo mko wapiiii!

Nashukuru chipenzi kwa kuniitia mambo mazuri kama haya.........kuchelewa kwangu kusikutishe, j3 ya leo iko loaded vibaya!!

Tunaomba uendelee kutumegea matamu yanayojiri huko mafichoni, si unajua wengine sie vitu kama hivyo vilitupitia pembeni?? Sema mwaya tupate na vya kuuliza..lol!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom