Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
Huyu jamaa akapimwe akili. Yeye kila siku ni misukosuko tu.
Wakapimwe kwanza maaskari wote wa tz kama akili zao ziko sawa.
Huyu jamaa akapimwe akili. Yeye kila siku ni misukosuko tu.
Kwani hujui kama Magesa ni mjinga.....Shark hebu fafanua kidogo, ina maana unataka kuhalalisha Lema kumwita RC mjinga?
wanacho jaribu kufanya ni kupunguza kasi ya mabadiliko.mambo mengine H ivi hawa Polisi wakiamua kuacha pasi kufanya haya wanayo fanya kuna nini ?- Maana amani haijavunjwa
Hizi amri nani atoa kwa Polisi kukama ovyo wapinzani ? - Nviongozi wa CCM au wakuu wa jeshi la polisi
Busara itumike SI KILA JAMBO kutumia manguvu
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh. Godbless Lema alizuiliwa na madereva wa boda boda ya piki piki za biashara akitokea Arusha kuelekea Dodoma kwenye kikao cha Bunge.
Wafanyabiashara hawo walimzuia Lema nakutaka angalau neno lake moja kwaajili ya unyanyaswaji wanao upata kutoka kwa jeshi la police, Lema alisimama na kuongea nao kwa dakika kumi na sita kisha akaongozana nao mpaka kwenye ofisi za chama (Chadema)na kuwapatia bendera za chama kwaajili ya kueneza chama.
Baada ya Lema kuondoka katika maeneo hayo na sasa yupo mjini Dodoma wafanyabiashara hawo wamekamatwa na jeshi la Police kwa kupeperusha bendera za Chadema. Kuna uvumi unasema Lema amekamatwa huu ni uongo mkubwa sana Lema haja kamatwa na tayari kaingia mjini dodoma.
Kuhusu jeshi la police:
Huu ni uonevu wa hali ya juu sana kuzuia watu wasiwasilishi hisia zao pale wanapo ona ni muda muafaka wa kufanya hivyo, tunalaani vikali ukandamizwa huu wa kipuuzi mno na hata mjinga hawezi kuufanya na sijui nitoe jina gani litakaloweza kusimama badala ya mjinga, mungu awatie moyo wa ujasiri wale wote waliyopata misuko suko hii, safari bado ni ndefu na nilazima tusonge na tufike.
Tetesi zina source! Anyway, source ni tetesi.
Ni kweli jana Lema alimchana live RC wa Arusha redioni, nachoona sasa RC na OCD Vs Lema na CDM Arusha. Huyu RC inaonekana ni kama ametumwa kukamilisha mission fulani hapa Arusha na nadhani hali itakuwa mbaya zaidi.
Nilipo Blue,
Je walikuwa na kibali cha kufanya mkusanyika huo?
Something is wrong with this guy