Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Jamani nataka nielewe, kwann wasichana wa kibongo sio waaminifu? Hii ni kwa sababu nimejaribu kulinganisha wasichana wa nchi zingine kama, Kenya, Uganda, Zambia na zinginezo. Nimebaini kuwa wanawake wa kibongo sio waaminifu. Sijajua kwann?
1. Wanachopenda pesa tu hawana mapenzi ya kweli
2. Wanakuwa na wanaume zaidi ya wawili.
3. Niwaongo sana, mara atazima simu, mara niko na mama, mara ataweka beria simu yako.
Je nifanye nn maana natafuta mke wa kuishi naye?
1. Wanachopenda pesa tu hawana mapenzi ya kweli
2. Wanakuwa na wanaume zaidi ya wawili.
3. Niwaongo sana, mara atazima simu, mara niko na mama, mara ataweka beria simu yako.
Je nifanye nn maana natafuta mke wa kuishi naye?