Parata
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 3,090
- 675
kabla sijajiunga na chuo kikuu nilikua nasikia kuhusu kina dada baadhi kutoa penzi na kupewa mtiani yaani kuoneshwa kabla ya mtiani.Nilipofanikiwa kujiunga na chuo nilishangaa kweli,kipindi cha mtiani ukiwa na urafiki na baadh ya wasichana utaskia tu anakwambia usisome hapo hatoi,soma hapa na hapa na kwel ukiingia kwenye pepa unakta ndo ivo.Rushwa ya ngono ndio chimbuko,maprofesa wasio na maadil wanatumia kazi zao kujinufaisha kingono.
Kama ushawahi experience ili tatizo karibu tushee hii tabia ni mbaya sana.
Kama ushawahi experience ili tatizo karibu tushee hii tabia ni mbaya sana.