Rushwa ya ngono maofisini na vyuoni bado ni tatizo kubwa

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,138
7,711
Rushwa ya ngono makazini/maofisini na vyuoni bado haija shughulikiwa kikamilifu, bado ni tatizo kubwa sana.

Wanawake wengi wanadhalilishwa kingono na viongozi wao/mabosi wao jambo ambalo linapelekea ufanisi kupungua makazini lkn pia kwa vyuoni tunapata wataalamu wabovu.

Nawaomba TAKUKURU wafanye uchunguzi kwenye maofisi yote haswa ofisi za umma.

itaisha kama TAKUKURU wataamua kufanya uchunguzi maofisini na vyuo vikuu.

hii rushwa ya ngono ndio chanzo kikuu cha ukosefu wa maadili kwa baadhi ya viongozi katika ofisi mbalimbali.

ndio chanzo cha wizi, ufisadi, ukandmizaji, ubadhirifu, uzembe n.k
ngono imetamalaki sehemu za kazi....rushwa ya ngono imekuwa kama pipi sehemu za kazi ni hatari sana kwa mustkbli wa taifa.

ndio maana UKIMWI umestawi zaidi sehemu za kazi/maofisini na vyuoni.
 
Halafu hua kinatumika kigezo et wadada wazuri wanavutia wateja! Uwongo mtupu. Ndo wanaoongoza kwa kua na customer care mbovu na maringo dhidi ya wateja.

Na asilimia kubwa ili waingie kazini hua wanatoa rushwa ya ngono the same to most of Universities na hili nimewahi kushuhudia kabisa mdada mzuri chuo haji haudhurii lectures lakini most of 6 modules ana A za maana na alipata GPA nzuri compared to others.

Hii ni hatar kwa taifa na nina wasiwasi hata huko kwenyw vyama vya siasa. Tuache hayo mambo tuangalie zaidi utendaji.
 
Rushwa ya ngono makazini/maofisini na vyuoni bado haija shughulikiwa kikamilifu, bado ni tatizo kubwa sana.
wanawake wengi wanadhalilishwa kingono na viongozi wao/mabosi wao jambo ambalo linapelekea ufanisi kupungua makazini lkn pia kwa vyuoni tunapata wataalamu wabovu.

tunawaomba TAKUKURU wafanye uchunguzi kwenye maofi yote haswa ofisi za umma.
Ni kweri lakin kuna baadhi ya rushwa hata takukuru wenyewe kuzitatua ni ngumu kwasababu kama rushwa ya ngono ni mtu mwenyewe tu anafanya makusudi kwasabu kama unaakili zako timamu huwezi kutoa rushwa ya ngono
 
Wanaoendekeza rushwa ya ngono ni wale kipindi wanajitafuta walikaziwa na watoto wazuri kama malecture, maboss wengi story zao za nyuma hawakula good time na watoto wazuri.

Wakishajipata wanafanya revenge.
,
Kama wewe ni mhanga Katoe taarifa kwenye vyombo husika.
 
Rushwa ya ngono makazini/maofisini na vyuoni bado haija shughulikiwa kikamilifu, bado ni tatizo kubwa sana.

Wanawake wengi wanadhalilishwa kingono na viongozi wao/mabosi wao jambo ambalo linapelekea ufanisi kupungua makazini lkn pia kwa vyuoni tunapata wataalamu wabovu.

Nawaomba TAKUKURU wafanye uchunguzi kwenye maofisi yote haswa ofisi za umma.

itaisha kama TAKUKURU wataamua kufanya uchunguzi maofisini na vyuo vikuu.

hii rushwa ya ngono ndio chanzo kikuu cha ukosefu wa maadili kwa baadhi ya viongozi katika ofisi mbalimbali.
Ni kweli rushwa ya ngono ni changamoto kubwa.

Ukweli ni kwamba haikwepeki.
 
Haiwezi kuisha kwa sababu ni mojawapo ya kitu kinachowapa faraja waalimu kutokana na mazingira magumu ya ufundishaji.

Ni mojawapo ya teaching incentives.
 
Back
Top Bottom