figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
mia
Nimeipenda pia, hebu ipeleke kwa kule kwenye jukwaa la wanasiasa. Maana wengine huku huwa hawafiki!!
Tuwaulize wa Tanganyika walioko Zenji na wa Zenji walioko Tanganyika kama wanapenda muungano halafu tuamue. Wakati wa kutafuta jibu tukumbuke kuwa duniani kuna raisi mmoja tu ambaye kisheria ya Zenji hakuruhusiwa kupiga kura ZenjiMtoto akililia wembe mpe,sioni haja ya kuwang'ang'ania wazenji
View attachment 45170View attachment 45170 Nimeiona kwenye jamii photos nikaona niwaletee wale wasioenda huko ili wajadili