Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Rais Samia, Waziri Mabarawa na katibu mkuu wao ktk wizara anayo ongoza Mbarawa ni kutoka Zanzibar na ndio waliouza bandari za Tanganyika wakaacha kuuza za Zanzibar.
Nyakati zote Wazanzibar wamekuwa wakijiita na kujivunia Uzanzibari wao kama taifa. WazanzibarI wanacho kitambulisho cha ukaazi cha Uzanzibari na Watanganyika tuna kitambulisho cha Tanzania. Wazanzibar wana serikali yao, bunge, Katiba na ukiwauliza Zanzibar ni nchi au sehemu ya Tanzania wanakwambia Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake.
Wazanzibar baada ya kuuza bandari za Tanganyika wanataka wasiitwe wazanzibar kwa nini? Na tena kuna wajinga wachache wanawaunga mkono eti kuwaita Wazanzibari ni kuwabagua. Mbona miaka yote wazanzibar wamekuwa wakijiita hivyo na serikali yao ipo? Huu upendo wa ghafla kujiita Watanzania umeanza lini? Au mnafikiri Watanganyika ni mazuzu?
Huwezi ukawa na taifa moja katika nchi mbili ni kichaa peke yake anayeweza kuamini hivyo kama Magufuli anavyo sema. Mimi sijawahi amini na sitaamini kuwa kuna Wazanzibari ni Watanzania. Huwezi ukaunganisha nchi mbili halafu upate mataifa mawili.
Na ukiwa na akili timamu huwezi kuamini kuwa kuna raia wa Tanzania. Urai wa Tanzania ni wa kufikirika tuu bali kuna raia halali wa Tanganyika na wa Zanzibar. Afadhari kidogo Watanganyika wanaweza kujikomba kizuzu kuwa raia wa Tanzania kwa kulipoteza taifa lao kijinga jinga tuu lakini hiyo nchi wanayodai kuungana nayo ni ya kufikirika haijawahi kuunga na Tanganyika.
Nyakati zote Wazanzibar wamekuwa wakijiita na kujivunia Uzanzibari wao kama taifa. WazanzibarI wanacho kitambulisho cha ukaazi cha Uzanzibari na Watanganyika tuna kitambulisho cha Tanzania. Wazanzibar wana serikali yao, bunge, Katiba na ukiwauliza Zanzibar ni nchi au sehemu ya Tanzania wanakwambia Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake.
Wazanzibar baada ya kuuza bandari za Tanganyika wanataka wasiitwe wazanzibar kwa nini? Na tena kuna wajinga wachache wanawaunga mkono eti kuwaita Wazanzibari ni kuwabagua. Mbona miaka yote wazanzibar wamekuwa wakijiita hivyo na serikali yao ipo? Huu upendo wa ghafla kujiita Watanzania umeanza lini? Au mnafikiri Watanganyika ni mazuzu?
Huwezi ukawa na taifa moja katika nchi mbili ni kichaa peke yake anayeweza kuamini hivyo kama Magufuli anavyo sema. Mimi sijawahi amini na sitaamini kuwa kuna Wazanzibari ni Watanzania. Huwezi ukaunganisha nchi mbili halafu upate mataifa mawili.
Na ukiwa na akili timamu huwezi kuamini kuwa kuna raia wa Tanzania. Urai wa Tanzania ni wa kufikirika tuu bali kuna raia halali wa Tanganyika na wa Zanzibar. Afadhari kidogo Watanganyika wanaweza kujikomba kizuzu kuwa raia wa Tanzania kwa kulipoteza taifa lao kijinga jinga tuu lakini hiyo nchi wanayodai kuungana nayo ni ya kufikirika haijawahi kuunga na Tanganyika.