Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Yaani wafanyakazi wamemgomea kura ,anawahonga ninyi mabongoflva ili mmpe kura , awe Raisi wenu kibongofalavour? Kwanza mna kadi za kujiandikisha kupiga kura?
Nakumbuka alijigamba kuwajengea studio ya Dola 50,000.00 . Go ahead tuone huo ubongo flavour wenu na Jk wenu. jue tutawagomea na sisi turudi zetu Congoooooo...?
Nakumbuka alijigamba kuwajengea studio ya Dola 50,000.00 . Go ahead tuone huo ubongo flavour wenu na Jk wenu. jue tutawagomea na sisi turudi zetu Congoooooo...?