Tuntu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2009
- 211
- 23
Bahati nzuri wasanii wengi wanaimba weee halafu hawapigi kura
Wanachohitaji sio kura zao bali ni shamrashamra zao wakijua kuwa 70% ya wapiga kura ni wafuata upepo.
Bahati nzuri wasanii wengi wanaimba weee halafu hawapigi kura
hiyo ni rushwa kwa wasanii ili wampigie kampeni Mkulu! why now? sidanganyiki!!Serikali imetukumbuka tumepewa viwanja ndio tuko kwenye foleni hapa ofisi za SHIWATA ilala Bungoni. Kama kuna mwandishi wa HABARI aje anihoji sijawahi kuhojiwa na mwandishi hasa wa TV naomba mjee na raha sana hapa tunatoa laki 1 tu kama ada.
Kama kuna msanii ambaye hajasikia hii habari naomba mumfahamishe.
cha bure kitamu ..................lakini hala hala tu manake wazee wa zamani wanasema 'cha bure kina gharama' :confused2:
Kwa vile wao wanasimama majukwaani sasa na kuitetea dhuluma, acha nao wadhulumiwe wajue maumivu wanayoyapata watanzania kila siku kutokana na dhuluma ya serikali kupitia chama hiki wanachokipigia ndogondogo. Hongera sana (hata kama huo ni uhalifu) huyo aliyebuni ulaji huo toka kwa wasanii hawa ambao SIO kioo cha jamii.Jamani ee wanajamii?
Mi nimesikia kuwa hii habari ni zengwe na mkuu wa wilaya amesema hawa watu hana taarifa nao na kama kunamtu anakusanya ela kwaajiri ya viwanja hivyo basi wameliwa ,,