Hawa wasanii ndio maana hawaendelei kila siku wanalalamika mauzo ya kazi zao yanaibiwa kutokana na mifumo mibovu iliyowekkwa na serikali ya CCM, leo wanalipwa vihela kiduchu wanavaa hizo tshirt kuipigia debe ishinde ili kazi zao ziendelee kuibiwa na kupotea kutokana na mifumo mibovu ya CCM ama kweli sijui ni ujinga au kutokuwa na shule