Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Binafsi sikulitegemea hili kufanywa na kijana yoyote mwenye umri chini ya miaka 40. Ni miaka zaidi ya 50 toka nchi yetu ipate uhuru lakini bado majority ya watanzania tumetopea kwenye lindi la umasikini uliovuka kipimo cha utu. Hii yote imesababishwa na serikali mbovu, dhaifu na isiyo na mipango madhubuti ya kuleta maendeleo katika taifa letu.
Binafsi, sikumbuki kama nilishawahi kuvaa ama kushika ama kusogea karibu na either bendera ama Tshirt ama khanga ama skafu ama chochote kile kinachohusiana na CCM hata kwa kupewa pesa, pombe na pilau za bure.
Je hawa vijana wanajua wanachokifanya?
Je nyimbo zao za kulaumu utendaji kazi wa serikali ya CCM hasa katika masuala ya Rushwa na ufisadi zina maana gani kama leo hii wanashiriki ku support serikali mbovu iendelee kutawala?
Au ni njaa inayowafanya washiriki kwenye hizi kampeni?
Au hawajui walifanyalo??
Cheki picha hizo hapo chini.........
Wasanii nyota wa bongo fleva wachangia CCM
Profesa J
Juma Nature
Mwana FA
Joe Makini
Dully Sykes
Belle 9 (shoto) na Diamond
CPwaa
Mwasiti (shoto) na Chidi Benz
wana THT
Binafsi, sikumbuki kama nilishawahi kuvaa ama kushika ama kusogea karibu na either bendera ama Tshirt ama khanga ama skafu ama chochote kile kinachohusiana na CCM hata kwa kupewa pesa, pombe na pilau za bure.
Je hawa vijana wanajua wanachokifanya?
Je nyimbo zao za kulaumu utendaji kazi wa serikali ya CCM hasa katika masuala ya Rushwa na ufisadi zina maana gani kama leo hii wanashiriki ku support serikali mbovu iendelee kutawala?
Au ni njaa inayowafanya washiriki kwenye hizi kampeni?
Au hawajui walifanyalo??
Cheki picha hizo hapo chini.........
Wasanii nyota wa bongo fleva wachangia CCM
Profesa J
Juma Nature
Mwana FA
Joe Makini
Dully Sykes
Belle 9 (shoto) na Diamond
CPwaa
Mwasiti (shoto) na Chidi Benz
wana THT
Source: Michuzi Blog