Ibara ya 9 (1-10) za Kanuni za Sheria ya barabara namba 13 ya 2007 zilizopitishwa kwa Tangazo la Serikali Namba 21 la Tar 23 Januari 2009 zinaipa TANROAD mamlaka ya kuondoa magari yoyote yaliyoharibika na kukaa barabarani kwa zaidi ya masaa 6 mijini na masaa 24 vijijini. Lakini kwa kuwa kuwasimamia TANROAD kutekelza wajibu huu hakutoi mwanya wa kuwepo waanddishi wa habari na wananchi kujua leo Magufuli kafanya nini, waziri huyu hana habari na sheria hii ambayo laiti kama inetekelezwa ingepungua idadi ya ajali mabya za barabarani, vifo, majeruhi na mayatima,