Elections 2010 Waraka wa Waislam Kuhusu Uchaguzi Wakamilika

mmh! Mkuu Mkandara, ingawa waraka huo haujatoka lakini introduction iliyotolewa na Ponda inatia mashaka makubwa.

Je wewe upo behind this? (soma quated text from Mwananchi news paper)
Mkuu wangu swala la waraka kutolewa na vyombo vya dini ndicho nachopinga mimi..sio somo zito na kubwa kwangu kuelewa na kukubaliana na upande wowote isipokuwa utaratibu unaotaka kutumika ndio napingana nao..
Kanisa/Msikiti havina nafasi wala uwezo wa kutazama uchaguzi wa viongozi wa nchi. wanaweza kupendekeza lkakini sii wao kukaa kitako na serikali kuunda mwongozo. Mwongozo tunao tayari na kati ya miiko yake unasisitiza kutobeba mapnezi ya dini moja..Sii ndio waliompendekeza Mugabe miaka yote na leo wakatupa Kikwete.. waliona kipi kizuri wakati ule wasishindwe leo..

Hivyo kama waraka wa huyop Ponda ambaye kwangu mimi ni mlalahoi kama watu wengine utakuwa unaelemea matakwa ya waislaam, sidhani kama ni kosa na hakika ningependa sana kuona waraka wa kanisa ukibeba uzito wa matakwa ya wakristu zaidi kwani ndio kazi waliyosajiliwa nayo..Kufanya nje ya hapo ni sawa na NGO yoyote inayotaka kuingilia utawala wa nchi wakati sii kazi yao wala jukumu lao. Unless kama Tanzania ingekuwa nchi isiyokuwa na mwongozo basi bila shaka ningeupokea waraka wa mtu yeyote..
Mkuu wangu hadi kesho mimi napinga Azimio la Zanzibar, kwa sababu ni azimio la chama kimoja hata kama walikuwa na malengo mazuri. Wapo wanaopinga Azimio la Arusha kwamba ni agenda ya Nyerere japokuwa alikuwa na malengo mazuri kwa Taifa..Kosa linaloonekana hapa ni mtu mmoja au kundi moja kuweka dira ya nchi wakati kuna makundi mengine yanayohusika vile vile..On top of that hakuna mtu anayepingana na Ilani ya chama kwa sababu inalenga wanachama ktk maslahi ya Taifa.

Hivyo huwezi kumkataza mtu kupinga waraka ambao hata kama una malengo mazuri kwani kinachofuata baada ya waraka huo ni utekelezaji wake. jambo ambalo utaliweka kanisa mbele na hata viongozi wake kuwa ktk ujenzi wa mkakati huo wa kitaifa,...To me, kanisa Katoliki na viongozi wake siwajui wala sina haja ya kuwajua kwa sababu sikubaliani na mafundisho yake pia imani zetu ni tofauti.

Ikiwa wao wanashindwa kuona mabaya nayoyaona mimi toka kwao itawezekana vipi wao wani represent mimi!
Na Ndivyo navyokuelewa wewe kushindwa kupokea na kukubaliana na waraka wa Waislaam..kwani Uislaam ni kwa yule mwenye kuamini tu..
That's all brother..
 
Last edited:
To me, kanisa Katoliki na viongozi wake siwajui wala sina haja ya kuwajua kwa sababu sikubaliani na mafundisho yake pia imani zetu ni tofauti.

Hapa nimekuelewa Kiongozi, maana nilikuwa nashindwa kuelewa imekuje umepoteza objectivity hata kwa vitu vilivyo wazi bro, naamini wewe ni mwelewa sana hasa ukiangalia michango yako kwenye mada zingine. Naona unajisahau unakuwa kama mfia uislamu fulani ingawa hutaki weka wazi. Nadhani umeusoma waraka wa kanisa katoliki, hauna mambo ya kiimani zaidi ya kuelimisha jamii bila kuangalia imani, waelewe somo la uraia na kufanya uamuzi sahihi kwenye changuzi zijazo.

Regards

Masa
 
Mkuu unaposikia kuwa Ponda ndio msemaji wa wasilamu hiyo inashangaza sana. Sijui lini aliombwa kuwa msemaji wa wasilamu. Anaweza kuharibu waraka mzima....
 
Hapa nimekuelewa Kiongozi, maana nilikuwa nashindwa kuelewa imekuje umepoteza objectivity hata kwa vitu vilivyo wazi bro, naamini wewe ni mwelewa sana hasa ukiangalia michango yako kwenye mada zingine. Naona unajisahau unakuwa kama mfia uislamu fulani ingawa hutaki weka wazi. Nadhani umeusoma waraka wa kanisa katoliki, hauna mambo ya kiimani zaidi ya kuelimisha jamii bila kuangalia imani, waelewe somo la uraia na kufanya uamuzi sahihi kwenye changuzi zijazo.

Regards

Masa
Mkuu wangu, nazungumza kama mtu asokuwa na imani ya dini.. sasa wewe unapoweza kuona baadhi ya maneno yangu kama ni utovu wa heshima kwa kiongozi wako hapo ndipo inapoja imani yako wewe na sio yangu.
To me Padre ni binadamu ambaye nitamheshimu kama atakuwa ktk kazi yake.. kama vile namheshimu Mwai Kibaki kuwa rais wa Kenya lakini sina mpango naye. Atakapo taka kuingilia mambo yangu nina kila haki ya kusema sikujui! haina maana nawachukuia Wakenya..

Wakati huo huo nitamdharau Sheikh au Mufti ikiwa atajaribu kuingiza Uislaam ktk serikali kwani sii kazi yake, hana ujuzi huo na elimu yake haiwezi kujenga mwongozo wa nchi..Azungumze kama raia wengine huu ndio mfumo wa kiislaam ulonivutia mimi katika dini hiyo..Kama anataka Siasa bora aingine siasa kama alivyofanya Dr. Slaa/Mtikila au Masheikh wengine.. hapo nitamwelewa na mtazamo wangu kwake utabadilika.
 
Mkuu wangu, nazungumza kama mtu asokuwa na imani ya dini.. sasa wewe unapoweza kuona baadhi ya maneno yangu kama ni utovu wa heshima kwa kiongozi wako hapo ndipo inapoja imani yako wewe na sio yangu.
To me Padre ni binadamu ambaye nitamheshimu kama atakuwa ktk kazi yake.. kama vile namheshimu Mwai Kibaki kuwa rais wa Kenya lakini sina mpango naye. Atakapo taka kuingilia mambo yangu nina kila haki ya kusema sikujui! haina maana nawachukuia Wakenya..

Wakati huo huo nitamdharau Sheikh au Mufti ikiwa atajaribu kuingiza Uislaam ktk serikali kwani sii kazi yake, hana ujuzi huo na elimu yake haiwezi kujenga mwongozo wa nchi..Azungumze kama raia wengine huu ndio mfumo wa kiislaam ulonivutia mimi katika dini hiyo..Kama anataka Siasa bora aingine siasa kama alivyofanya Dr. Slaa/Mtikila au Masheikh wengine.. hapo nitamwelewa na mtazamo wangu kwake utabadilika.

Kwa vipi uone kiongozi wa dini hana ujuzi wa elimu ya kuendeleza nchi?
 
Kwa vipi uone kiongozi wa dini hana ujuzi wa elimu ya kuendeleza nchi?
Nilichoandika mimi -Wakati huo huo nitamdharau Sheikh au Mufti ikiwa atajaribu kuingiza Uislaam ktk serikali kwani sii kazi yake, hana ujuzi huo na elimu yake haiwezi kujenga mwongozo wa nchi.

Maandishi yako na yangu ni vitu viwili tofauti kabisa..
 
Dini zinapoingia Siasa!

Siasa ni maisha na dini ni maisha. huwezi kutenganisha kuni na moshi, kwani zote ni sehemu ya kuelekea kutoa nishati ya joto.

Hivyo kwa kuwa dini na siasa zinahusu maisha ya binadamu huwezi kuzitenganisha. Yaani wahenga husema " Lila na Fila hazitangamani"-Good and evil will never mix. Kwa kuwa vyote dini na siasa ni goods, basi sharti viungane.
 
Kwa vipi uone kiongozi wa dini hana ujuzi wa elimu ya kuendeleza nchi?
Kuna pahala na wakati dini na siasa zinaenda sambamba. Chukua nchi kama Saudi Arabia na nchi za Gulf ( UAE, QATAR, BAHRAIN, KUWAIT AND OMAN) Ambazo wananchi wake nearly or wote ni dini moja,
Kwa hawa jamaa kuweka sharia za dini yao kwenye katiba yao ni sawa, lakini at the same time wana wapa uhuru watu wengine na dini zao (wageni) hawalazimishwi kusali wakati wa sala, kufunga ramadhani isipokua waheshimu mwezi huo bili ya kula na kuvuta sigara hadharani wala hawabugudhiwi kwa mengine. It's very true mixing religion with politics is very dangerous, hata dini na sports, dini na biashara na hata dini na mapenzi sometimes is un-comfortable. Kila kitu kina wakati wake na pahala pake.
 
Huku tunakoelekea kubaya. Zama za dini kuwa katika siasa zilishapitwa na wakati. Unajua hawa wanaandika hizi nyaraka utafikiri na wao ni bora maradufu kushinda hao wanaowaasa wanachi wasiwachague. Nakubaliana na Joka Kuu, viongozi wa kidini wangeanza na kutayarisha nyaraka za jinsi ya kuchagua au kuteua viongozi wa dini zao kwanza
 
Kwa nini tunapoteza muda kujadili kitu ambacho hakipo? Nadhani ni wise tukasubiri waislamu wauweke waraka wao ( kama upo) hadharani then tutakuwa na sababu ya kujadili, itakuwa si kuwatendea haki kama tutajili hisia zetu juu ya waraka huo

Tuusubiri maana nadhani hautakuwa SIRI
 
Hata mie naandika waraka wangu kwa mke na watoto wangu kuhusu jinsi ya kupata kiongozi bora kwenye uchaguzi ujao 2010....ndiooo...maana hapa ni kila mwenye uwezo wa kuandika maoni yake kwa watu wake maalumu kuhusu jinsi ya kuchagua kiongozi anayo haki ya kufanya hivyo kikatiba...ndiooo...

ingelikuwa katiba hairuhusu uhuru wa kutoa maoni basi ingeliwakataza wote waliotoa wanaotoa na watakaokuja kutoa baada ya hawa...jana wakatoliki, leo waislamu, kesho waluteri, keshokutwa walokole, mara answar sunni, then walokole, mara wapagani, kisha wasukuma, mara wapemba, mara wanyakyusa.......sidhani kama tutafika...nchi inaweza kuwa na nyaraka kama 1millioni kiasi itafikia hukooo ninakotaka kwenda...

WARAKA WANGU KWA MKE NA WANANGU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2010...ni mtazamo na maoni yangu tuu.
 
Ummy Muya

KATIBU wa Kamati ya Kutetea Haki za Waislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema waraka maalum utakaowaongoza waumini wa madhehebu hayo katika uchaguzi mkuu wa mwakani, umekamilika.

Sheikh Ponda aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam ambapo alisema waraka huo umesheheni ujumbe mzito kwa ajili ya Waislamu.

Alisema waraka huo uko tayari kuanza kusambazwa kwa Waislamu wote nchini na huku ukitangazwa katika vyombo vya habari .

"Waraka huu utakuwa mzito sana ukilinganishwa na ule ambao tuliutoa mwaka jana,"alisema.

Kwa mujibu wa Sheikh Ponda waraka huo umeandaliwa na shura ya maimamu, inayojishughulisha na masuala ya siasa.

Tayari Kanisa Katoliki nchini, limetoa waraka wake unaowataka wananchi kuchagua viongozi, waadilifu na wacha Mungu katika uchaguzi wa serikali za mitaa na ule wa mwakani.

Hata hivyo, waraka huo umezua malumbano makali kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wakidai kuwa, unaweza kusababisha taifa kusarambaratika.

Akizungumzia maandamano, Sheikh Ponda alisema wanasubiri kumalizika kwa kikao cha Bunge, ili kujiridhisha na hatua zilizofikiwa na chombo hicho katika kushughulikia suala la Mahakama ya Kadhi. "Maandamano ambayo tumepanga yana ujumbe hivyo hatuwezi kuyafanya mpaka kikao cha Bunge kiishe na kufahamu suala hili lipo katika hatua gani,"alisema

SOURCE:MWANANCHI.

Sijajua hasa sababu ya huo waraka...
Ulikuwa katika mkakati au ni responce ya jambo?
Jino kwa jino au.....
Kwa manufaa ya wananchi wa tanzania au tabaka fulani...
Tusiwe tunafanya mambo kwa jazba au kukurupuka,
swala ni wananchi wa tanzania na si udini....
Mbona friction ya udini haikuwepo miaka ya awamu tatu za uongozi zilizopita?!
Chanzo cha haya yote ni nini hasa?

Naamini tanzania si Saudia au Roma.....
Na kila tabaka lina haki na uhuru wa kuwasilisha mawaidha binafsi na si kujibiana mapigo kama taarab, na endapo tu macho yetu yanawalenga wanajamii kwa manufaa ya taifa.
 
je wana point za tofauti au kuna cha ziada au wameona bse upande flani wametoa nasi tutoe, huko kutakuwa kutotumia akili, kwani wmepingaaa, sasa nao wanatoa waraka sasa hiyo akili matope? why wasingesifia then na o waseme tuna nyongeza hapa wanajamii, au waislamu, hawa masheikh ukweli ni kuwa hawana lolote, kama watoto wadogo vile!! sisi tunataka mtupe maelekezo na muongozo wa points kama upo, but sijauona huo waraka i'm sure utakuwa wa kidini dini na si kushauri watu kuchagua kiongozi bora!! ok tunaishi na problems but what can we do!
 
Kwani wote walioupinga ama kuukubali waraka wa wakatoliki ni wa ccm?

Tujaribu kuwa na nguvu ya hoja na hoja ya nguvu tunapojadili masuala nyeti yenye mustakabali wa nchi ytu ya tanzania
 
Hii ni kali!
Kwa kifupi wananchi wanaonekana kukata tamaa kabisa... leo nimesikia mazungumzo ya watu tena wananchi wa kawaida kabisa wakisema:
" Vyama vya upinzani ni kama deiwaka tu... chama tawala kinapata fungu kubwa na kuwagawia vyama pinzani kiduchu..hivyo hakuna namna wananchi watapata mbadala wa kuwapa nafuu ya maisha"...

Mimi naona ni vema tu kila kikundi katika jamii wakafanya upembuzi wao na kuandika waraka/makabrasha na kuwaelimisha watu wao ..after all Civic education inapaswa kuwa mchakato endelevu na siyo kusubiri tu wakati wa uchaguzi.Badala ya kuwabeza viongozi wa dini na nyaraka zao nadhani ingekuwa vizuri tukawaunga mkono.
Ni kweli kabisa. Kwa vyovyote vile ilivyo, kama watu wataamshwa na kujua nini wajibu wao, itasaidia sana kwa siku zijazo. Wakati huu ambao uongo wa waziwazi unafanyiwa mikakati ya kuaminishwa kwa watu ni muhimu dini nazo zikatoa vipaumbele vyao. Nani atamchagua nani itakuwa ni shauri la mpiga kura.
Tukumbuke tu kwamba siasa ya TZ imevamiwa na baadhi ya watu ambao hawana nia na siasa bali kufanya biashara zao kupitia hiyo siasa kwa gharama ya watanzania wote. Kazi kwelikweli
 
kitu cha muhimu kwa waislam kujua ni kwamba, the more wanavyo reach vibaya katika mambo haya, ndivyo wanavyoichafua na kuiaibisha dini yao. kwamfano, umetoka waraka na wamekataliwa mahakama ya kadhi, wao tayari wameshaanzisha chama cha kigaidi kule kwenye msikiti wa kichangani. hicho chama ndicho kitakachowafanya waeleweke vibaya, ndicho kitakachowafanya wachafue dini yao, wadharirishe dini yao, na waislam wengi ndo watahama waje kwetu sisi wakristo wampokee Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yao.ndo maana sisi wakristo tumenyamaza tu, kwasababutunajua ndo faida kwetu.

wangekuwa wanalipokea kama wao kweli wanamwabudu mungu wa kweli, basi, wangefanya kimungu, wasingeriiakti hadi kuleta chama cha kigaidi toka middle east. they will regreat this very soon, watakapoona sasa ndo wamejibagua wenyewe, watauza karanga,samaki wa kukaanga magomeni na buguruni, watakaanga mihogo na kulala njaa kama kawaida yao.

ni muhimu kuelewa kuwa, for the survaval ya maendeleo ya waislam hapa tz, ni lazima wasijibague au wasianzishe bifu na wakristo.kwasababu wakristo wako juu kwa sababu zifuatazo.:

1. wakati mwislam anapeleka mtoto madrasa, sisi tunapeleka mtoto chekechea ya nguvu

2.wakati yeye anapeleka shule ya msingi, anakutana na mtoto wetu ambaye atakuwa amezoea masomo ya elimu dunia kuliko yeye.

3.wakati mwislam anazaa watoto kumi na mbili,au zaidi, wakristo tunazaa watoto wanne au sita, na tunakuwa na uwezo kuwapelewa wote shule, waislam kwasababu ameona wanawake kama wanne, basi watoto wake ishirini hatakuwa na uwezo kuwapeleka shule ikilinganisha hata yeye mwenyewe hakwenda shule.

4. wakati wakristo wanapiga kazi, wao wanategemea kutega majini njia panda za chuma ulete, ndo maana ukienda magomeni,manzese,buguruni nk, utakuwa watu wazima wenye watoto wamenyoosha mkeka kwenye kibaraza kama wanawake, anasubiria jioni ije ale alale.

4. wakati sisi wakristo tunachanga hela kwenye makanisa kujenga mashule, television na radio, wao wanachangia yanga watu waingie bure, wao hawana moyo wa kutoa. radio mashule na tv zote za wakristo unazoziona zimeanzishwa kwa njia ya michango ya waumini, kwasababu tunaamini kuwa tunamtolea Mungu. hivyo, KATU HAWATAKUJA WATUKUTE.

labda, wapunguze wake wa kuoa, wapunguze swala tano, wapunguze uvivu na kufikiri dini yao inasaidia. WAACHE KUAMINI KUWA WATAENDELEA KAMA MIDDLE EAST, kule middle east wameendelea kwasababu ya mafuta, sio kwasababu ya kufanya kazi kwa bidii. wao wanaweza wakalala kabisa lakini mafuta yao yanawatosha. wale waarabu huko middle east wasingekuwa na mafuta, hakika wangekuwa masikini kama watu wa tanga kunani. hivyo waislam wa tz msijikopi na kupest waislam wanaoishi kwenye visima vya mafuta, pelekeni watoto shule, someni, fanyeni kazi acheni uvivu na kutegemea majini. mtakuwa mkia hadi lini? na UKATILI NA FUJO ZILISHAWAHI KUMWENDELEZA MTU LINI?
 
Back
Top Bottom