Chigwiyemisi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 531
- 225
Nilikuwa namuamini sana huyu mzee! Lakini baada ya kukaimishwa nafasi ya pinda pale mjengoni ndipo nimeamini maneno ya EL kuwa "TATIZO NI UWAZIRI MKUU! Tatizo la Sita lilikuwa ni hilo, hakuna cha vita ya ufisadi wala nini!