Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,516
- 1,865
Mkuu wote bure ni kama mke wa panya anamcheka mke wa mjusi kuwa mme wake anamkia. Hakuna pinda wala 6 wote hamna kitu!Anaongea upupu kwa kuwa dhamira inamsuta kutokana na sualiti wake wa kuasisi uanzishwaji wa CCJ. Sikujua kuwa mvi ni rangi tu hata wasio na busara wanazo. Kama kiongozi kaonyesha busara gani kwa kuropoka maneno yale??nadhani hajui kuwa haongei yeye kama Sitta bali ni kiongozi wa shughuli za bunge. Ombi langu Mzee Pinda rudi uchukue kiti chako huyu bwana inawezekana anafanya Sabottage, mana anasifa ya USALITI