Wapinzani jengeni utaratibu wa kujibu hotuba za rais!

Ni wazo zuri cha msingi watafute namna nzuri ya kujibu hoja na itasaidia sana katika kuwafungua macho wananchi kutoka kwa yale waliyoyasikia toka kwa viongozi wetu.
 
Asante mleta mada ila mimi nimevumilia sana mpaka nimeimaliza.Haya ni mawazo yangu lakini umma mkubwa naamini utakuwa na mawazo kama haya,sasa basiKAMA KWELI VIONGOZI WA CHADEMA WANAPITA HUMU JUKWAANI BASI NAOMBA POST HII IFANYIWE KAZI.Kiukweli mkuu wa kaya ameongea mengi na wana CCM wala sio wazee tu,maana kulikuwa na kundi kubwa tu la vijana na watu wa umri wa kati,lakini hoja yangu hapa NAWAOMBA WATU MLIO KARIBU NA MWENYEKITI AU KATIBU AU NAIBU KATIBU JAPO BADO YUKO KWENYE MAPUMNZIKO AU HATA MWENYE MAWASILIANO NA TUNDU AU MNYIKA muwaeleza ya kwamba tunataka hotuba hiyo ijibiwe haraka na kama tatizo ni air time kwenye TV naamini wapenda mabadiliko na wanachama wa Chadema tutachanga ili hotuba hiyo ijibiwe,tena ukumbi ule ule na mada zile zile ila chaedma tuite wazee wote bila kubagua chama.Nimesikitika sana JK kuzungumza na wana CCM kwa mbwembwe za Taarabu kama tu kina-Lusinde kule Dodoma.kwa muda uuu bado ninahaisra nitarudi baadae maana mwwisho wa siku nitatukana,cha mno nawasihi viongozi wetu wa chadema wajue ya kwamba tuko nyuma yao .
iouiuoryuo
aiiiiiiiiiiiiii, uwiiiiiiiiii mkuu bado nalia kwa machungu sijui ntanyamaza saa ngapi.
 
dr slaa akahutubie mlimani kama mkandara hatojali na watu wapewe nafasi ya kuuliza maswali. jk yeye kakusanya wazee wale walikuwa wanalala na kumwaga udenda pale ukumbini. hana ubavu wa kuhutubia udsm.
 
Msipende kupotosha, JK kaweka mambo hadharani, CDM hamuwezi kutudanganya, sie tunajiandaa kushiriki kutoa maoni mwakani

Tatizo wewe pamoja na jk wako hamjui mnachokitetea! Na hamuelewi tunachokidai!
 
..kila hotuba ya Raisi kwa taifa inapaswa kujibiwa na vyama vya upinzani.
..kwa uzoefu nilio nao kila Raisi anapohutubia basi kila chama cha upinzani huteua msemaji wake kujibu hotuba hiyo.
..naona hapa kwetu tumechelewa, but we need need to start now.

..watafute utaratibu mzuri zaidi wa kufikisha ujumbe wao.
..wapinzani wajitofautishe na CCM kwa kuhutubia na kuruhusu maswali ya papo kwa papo. Ughaibuni wanaita town hall meeting.
..hiyo itaonyesha kwamba wanajiamini na hawapo kupiga propaganda na kueneza majungu.

Mkuu haya ni mawazo mazuri sana. Tatizo moja la CHADEMA katika mazingira haya ni ugumu na uzembe wa kitengo chao cha mawasiliano kwa umma (chini ya ndugu Tumbo). Siku zote kitengo kimekua nyuma sana katika kujibu hoja mbalimbali au kutoa ufafanuzi wa mambo/hoja mbalimbali ambazo chama kinapaswa kuzitoa ili kuweka ukweli wazi (mfano suala la chama, kusomba watu kutoka Zanzibar kwenda Dodoma kupinga muswada! n.k.).

Ki ujumla, utaratibu wa chama kikuu cha upinzani kujibu hoja zitokanazo na hotuba ya rais upo katika mataifa mengi duniani. Idea ya town hall meeting sidhani kama ni practicable katika context ya chama cha upinzani TZ. Kwanza, bado media approachability for chama cha upinzani si ya kuridhisha sana. Ndio maana CHADEMA nimekuwa nikiwashauri sana wawe na media package yao ambayo itakua reliable na accessible kwa watanzania wote (hii TV yao kupitia YouTube, so far haijafanikiwa kihivyo). Hapa hata michango kutoka kwa wafuasi, wakereketwa, wapenzi na wanachama wa CHADEMA ikihitajika, mimi mmojawapo nitakua tayari kutoa ili kusaidia hili suala (mara nyingi nimesema lakini, so far sijaona how serious is the party on this matter!!)

Otherwise, ni mawazo mazuri sana mkuu. Hopefully, CHADEMA watayazingatia (BTW, sijui kama uwa wanapitia mawazo mbalimbali ambao utolewa na wadau humu!!)
 
Naunga hoja, ni kweli tunahitaji chadema wafanye utaratibu wa kujibu hoja za huyu rais na wala msipuuze hata kidogo, kwani kuna watu kama wale wazee ambao wanaamini kila kitu kinachosemwa na rais. Chadema kamwe msilipuuzie hili.
 
Hoja hiyo naiunga mkono coz hotuba zote za CHADEMA zinaleta matumaini kwa watanzania kona zote nchini.Nashauri ktk hotuba yake aongee yafuatayo:

1.Uchumi wa nchi naamini hotuba yake itafunika ya jk coz jk aliwahi kujibu kwamba hajui why watanzania ni masikini.
2.Mswada wa kupata katiba mpya ambao naamini kila mtanzania ataupenda tofauti na huo wa jk na ccm yake+cuf.
3.kutoa ratiba rasimi ni namna gani maandamano yataendeshwa kudai haki ya umma ambayo ccm wametupora.
 
NAUNGA MKONO HOJA coz siku zote inajulikana hotuba za kambi ya upinzani ni matumaini kwa watanzania.Akazie sehemu hizi;

1.Uchumi hafifu na umasikini wa watanzania naamini atamfunika jk coz hata jk aliulizwa why watanzania ni masikini akashindwa causes.
2.Asungumuzie kupata mswaada mbadala utakaopelekwa kwa umma tofaut na huo wa ccm,ccm-b pamoja na MAGAMBA yao.
3.Atoe mwelekeo na ratiba ya maandamano ya kudai haki yetu tuliyoporwa na wana MAGAMBA.
 
NAUNGA MKONO HOJA coz siku zote inajulikana hotuba za kambi ya upinzani ni matumaini kwa watanzania.Akazie sehemu hizi;

1.Uchumi hafifu na umasikini wa watanzania naamini atamfunika jk coz hata jk aliulizwa why watanzania ni masikini akashindwa causes.
2.Asungumuzie kupata mswaada mbadala utakaopelekwa kwa umma tofaut na huo wa ccm,ccm-b pamoja na MAGAMBA yao.
3.Atoe mwelekeo na ratiba ya maandamano ya kudai haki yetu tuliyoporwa na wana MAGAMBA.
 
Wazo zuri mkuu,chadema isifanye makosa kutoijibu hotuba hii ya huyu Vasco Dagama,wafanyie hapo hapo kwenye ukumbi wamwaibishe muoa wanawake lukuki.
Hapana Chadema wasijibu kwani raisi alikuwa "anawapa michapo ya safari zake" hao wazee wa CCM wa Dar Es Salaam,angekuwa anahutubia taifa hapo Chadema wangeweza kujibu.
 
Viongozi wa cdm mpo wapi? Tupo serious tunataka muongee na wazee wa cdm wa mkoa wa Dar es Salaam kuhusu mambo yaleyale aliyoongea mtawala.
 
..kila hotuba ya Raisi kwa taifa inapaswa kujibiwa na vyama vya upinzani.

..kwa uzoefu nilio nao kila Raisi anapohutubia basi kila chama cha upinzani huteua msemaji wake kujibu hotuba hiyo.

..naona hapa kwetu tumechelewa, but we need need to start now.

Tena wengine huifanya hot hot. Akianza kuhutubia tu majibu yanaanza kutayarishwa ndani ya masaa 24 majibu yanakuwa yeshawafikia wananchi.

Hii ya sasa ya "msema pweke" haikubaliki
 
Rumishaeli,
CHADEMA wazungumze na wazee au vijana? Halafu ni lazima wawe wa Dar?

Hapana ccm sio wa kuiga hapo; ila kujibu hotuba za ccm & serikali yao ni wazo zuri.
 
kuficha kufeli kwake anasema mbona uganda na kenya nao kama sisi?rubbish!resources zetu ni nyingi kulinganisha na hizo nchi.,hatuna rais tuna nazi.
 
Back
Top Bottom