Rumishaeli
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 227
- 72
Kwa jinsi nilivyomsikiliza JK akihutubia akasema anaongelea mambo 2 (Uchumi na upatikanaji wa katiba mpya) Nimeamua kuacha kusikiliza kwani inaudhi sana. Naomba kuwakilisha kwa mwenyekiti wa Chadema na wanachadema wote kupitia JF nae aitishe kikao cha wazee wa chadema dar awahutubie kuhusiana na mambo hayohayo 2 halafu sisi wananchi tupime nani anaongea ukweli.
Inaudhi unaongelea uchumi unaanza kusema uchumi wetu unaasiriwa na uchumi wa mataifa ya magharibi. Je Rwanda wanafanyaje wakati uchumi unakua kwa kasi sana wakati hawana Bandari,Madini na tourism kubwa ka yetu, ardhi ni ndogo sana.
Anaongelea upatikanaji wa katiba mpya anaanza kuto histotiria wakati mambo yamebadilika na dunia imekua kijiji kila mtu anajua haki yake aache kutufanya mazuzu. Hapa hakuna nani alifanya nini wakati wa nyuma fanya kwa mazingira yaliopo na JK unatakiwa kufikiri.
Inaudhi unaongelea uchumi unaanza kusema uchumi wetu unaasiriwa na uchumi wa mataifa ya magharibi. Je Rwanda wanafanyaje wakati uchumi unakua kwa kasi sana wakati hawana Bandari,Madini na tourism kubwa ka yetu, ardhi ni ndogo sana.
Anaongelea upatikanaji wa katiba mpya anaanza kuto histotiria wakati mambo yamebadilika na dunia imekua kijiji kila mtu anajua haki yake aache kutufanya mazuzu. Hapa hakuna nani alifanya nini wakati wa nyuma fanya kwa mazingira yaliopo na JK unatakiwa kufikiri.