'Wapiganaji' walioko CCM wanapigania nini hasa?

Kisemwacho kipo au kitakuja,kuna watu waliapa Spika Sitta hatarudi na ikawa,kuna wanaoshinikiza uongozi inaweza kuwa.Inasemekana kuna wenye CCM na kweli maamuzi yao ndio yanapitishwa hata M/kiti wa CCM hana nguvu tena.Sasa jamani mafisadi wakichukua nchi hii tutapona?Chonde chonde msitusaliti watanzania tutaangamizwa na mafisadi.Wana JF niwekeni sawa kwa hili kwani nipo njia panda.
 
Ndiyo maana wengine mjadara wa 6 tulikaa kimya. Soma Hesabu 14 ndiyo utaona kwa nini Mungu alimwacha kalebu peke yake!
 
Makundi hayajaisha, Fukuto lipo chinichini mkuu, Hao waliokuwa wanaitwa wapiganaji wanashughulikiwa kimyakimya
 
Mzee mzima umeamka kwa hasira kama huyo mnyama kwenye avatar yako!

Hakuna hata mmoja, some of us we said it, JK akasema kuna wafuata mkumbo!

Huyo sita, mwakyembe,kilango n.k wana familia zao and they only care for their affairs, wameshapata ubunge basi!!!

semeni msemavyo, Mrema's move in 1994 was perfect move and he stands as role model for all who are not sastified by CCM acts

ndani ya CCM hakuna hata mmoja! asante kwa kutukumbusha hilo!
 
Tunaye 6 na Mwakyembe
Hapa ndipo ninapochoka, hebu Mkuu kisu tueleze 6 na Mwakyembe wanapigania nini ndani ya CCM ? Kuna usemi wa kiingereza unaosema, when the going gets tough, the tough keep going ikiwa na maana kuwa shujaa utamtambua kwa matendo na si maneno. Tumeshuhudia kwa macho yetu hao jamaa wanvyofyata mikia yao mambo yanapowawia magumu na wanavyokosa ujasiri wa kutetea misimamo yao wanapowekwa kiti moto kwenye viako vya CCM.

Mwakyembe alifunika kombe mwanaharamu apite aliopoamua kuwakilisha ripoti ya Richmond isiyo kamilifu kwa lengo la kuisetiri serikali na si mara moja alipobanwa ameshindwa kukiri mapungufu dhahiri ya Kikwete na badala yake kumsifia. Sitta kwa upande wake alionyesha woga wa hali ya juu alipoamua kuufunga mjadala wa Richmond ili kuwapa ahueni viongozi wa juu wa serikali wasiumbuke. Hapana hawa wawili wameonyesha udhaifu mkubwa wanapokabiliwa na maamuzi mazito.

Bila shaka yoyote walichukua maamuzi hayo ili kulinda maslahi yao na pia kuendeleza tabia ya CCM ya kulindana na hawana tofauti yoyote na viongozi wengine humo ndani. Hakuna hata moja kati yao, kwa mfano, aliyelalamikia kitendo cha uongozi wa juu wa CCM kuwapigia kampeni vinara wa ufisadi katika uchaguzi uliopita. Hii peke yake yatosha kutuaminisha kuwa hawaoni tatizo lolote na watu hao ikiwa na maana kuwa wote ni wachafu kwani wanaogelea kwenye dimbwi moja hilo hilo lililochafu.

Hapana wanaochukia uchafu njia iko moja tu, kutoka na kuoga wasije wakanuka !
 
Hapa ndipo ninapochoka, hebu Mkuu kisu tueleze 6 na Mwakyembe wanapigania nini ndani ya CCM ? Kuna usemi wa kiingereza unaosema, when the going gets tough, the tough keep going ikiwa na maana kuwa shujaa utamtambua kwa matendo na si maneno. Tumeshuhudia kwa macho yetu hao jamaa wanvyofyata mikia yao mambo yanapowawia magumu na wanavyokosa ujasiri wa kutetea misimamo yao wanapowekwa kiti moto kwenye viako vya CCM.

Mwakyembe alifunika kombe mwanaharamu apite aliopoamua kuwakilisha ripoti ya Richmond isiyo kamilifu kwa lengo la kuisetiri serikali na si mara moja alipobanwa ameshindwa kukiri mapungufu dhahiri ya Kikwete na badala yake kumsifia. Sitta kwa upande wake alionyesha woga wa hali ya juu alipoamua kuufunga mjadala wa Richmond ili kuwapa ahueni viongozi wa juu wa serikali wasiumbuke. Hapana hawa wawili wameonyesha udhaifu mkubwa wanapokabiliwa na maamuzi mazito.

Bila shaka yoyote walichukua maamuzi hayo ili kulinda maslahi yao na pia kuendeleza tabia ya CCM ya kulindana na hawana tofauti yoyote na viongozi wengine humo ndani. Hakuna hata moja kati yao, kwa mfano, aliyelalamikia kitendo cha uongozi wa juu wa CCM kuwapigia kampeni vinara wa ufisadi katika uchaguzi uliopita. Hii peke yake yatosha kutuaminisha kuwa hawaoni tatizo lolote na watu hao ikiwa na maana kuwa wote ni wachafu kwani wanaogelea kwenye dimbwi moja hilo hilo lililochafu.

Hapana wanaochukia uchafu njia iko moja tu, kutoka na kuoga wasije wakanuka !

Umeeongea vizuri.
Ila kumbuka hii ni vita, na hupigani kwa pupa. Ni lazima uangaliee unaingiaje ngome ya adui , bila kuhatarisha maisha yako kwa uzembe.
Ndiyo maana tunakuwa na informers, colaborators na insiders, ambao kimsingi wamo ndani ya kambi unayopigana nayo , lakini wana coraborate ki kanjanja.
Hivyo, ili kina Mwakyembe na Sitta waendelee kusikika na hivyo kustrike back, ni lazima watulie, waangalie nguvu za maadui wao, and then waamue one last blow ambayo itawalaza jamaa mazima.
Kwa mfano, kwa Mpendazoe kuwa nje ya ubunge, inakuwa ngumu kutoa michango yake ndani ya bunge, hivyo atategemea sana jinsi CHADEMA itakavyomtumia kwenye kampeni za kuelimisha jamii juu ya ubaya wa utawala uliopo.
Lakini kwa Mwakyembe, Sitta, Sendeka na wengineo kuwa kwenye bunge na serikali ikiwezekana, wanapata kujua kwa undani yanayojiri, na wanaweza kuwasaidia akina Mpendazoe kupata taarifa za kiini za kuwaeleza Watanzania.
Ni mawazo yangu tu!
 
Mwaka jana kajitokeza shujaa moja tu ndani ya CCM kwa jina Fred Mpendazoe na kweli hivi sasa kaungana na wapiganaji wa kweli kutetea maslahi ya taifa.

Je mshikamamo uliopo sasa ndani ya CCM kati ya waliojiita wapiganaji na wale waliojulikana kama vinara wa ufisadi, tuuelezeje ?

Tumeshuhudia wanavyokaa pamoja, wanavojadiliana pamoja na wanavyotoa maamuzi ya pamoja, hii hali yaashiria nini ?

Binafsi siamini kuwa kuna msafi hata moja ndani ya CCM lakini kama wapo nawaomba wana JF muwataje kwa majina na kwa nini mnaamini ni wasafi.
Hakuna msafi wa kweli anayeweza kubaki CCM! HAKUNAAAA! Wote Majambazi tu. Wapiganaji wa kweli wako nje ya CCM.
 
Mwaka jana kajitokeza shujaa moja tu ndani ya CCM kwa jina Fred Mpendazoe na kweli hivi sasa kaungana na wapiganaji wa kweli kutetea maslahi ya taifa.

Je mshikamamo uliopo sasa ndani ya CCM kati ya waliojiita wapiganaji na wale waliojulikana kama vinara wa ufisadi, tuuelezeje ?

Tumeshuhudia wanavyokaa pamoja, wanavojadiliana pamoja na wanavyotoa maamuzi ya pamoja, hii hali yaashiria nini ?

Binafsi siamini kuwa kuna msafi hata moja ndani ya CCM lakini kama wapo nawaomba wana JF muwataje kwa majina na kwa nini mnaamini ni wasafi.
Mkuu unataka usafi gani, kama wa malaika, kama unataka huo basi sio ccm tu nadhani dunia nzima hakuna, Mpendazoe ni shujaa wa kweli kwako sababu tu alisoma alama za nyakati zilizo mshinda selelii na shibuda na wala si kama hivyo unavyofikiri wewe.
labda nikusaidia jambo moja kujua, watu wanakosoana katika utendaji lakini katika kutafuta madaraka kama chama lazima muende kama kitu kimoja, just simple like dhat mkuu, sasa kama hutaki hata wake pamoja napata mashaka


Huyo sita, mwakyembe,kilango n.k wana familia zao and they only care for their affairs, wameshapata ubunge basi!!!

semeni msemavyo, Mrema's move in 1994 was perfect move and he stands as role model for all who are not sastified by CCM acts

ndani ya CCM hakuna hata mmoja! asante kwa kutukumbusha hilo!
Waberoya, hivi mbowe na na wenzake hawana familia na they dont care about affairs zao? natumai unajua kazi ya wapinzani ni nini na walioko madarakani ni nini, ni haki ya zito kusema ccm wote wameoza ilikujijenga

Hapa ndipo ninapochoka, hebu Mkuu kisu tueleze 6 na Mwakyembe wanapigania nini ndani ya CCM ? Kuna usemi wa kiingereza unaosema, when the going gets tough, the tough keep going ikiwa na maana kuwa shujaa utamtambua kwa matendo na si maneno. Tumeshuhudia kwa macho yetu hao jamaa wanvyofyata mikia yao mambo yanapowawia magumu na wanavyokosa ujasiri wa kutetea misimamo yao wanapowekwa kiti moto kwenye viako vya CCM.

Mwakyembe alifunika kombe mwanaharamu apite aliopoamua kuwakilisha ripoti ya Richmond isiyo kamilifu kwa lengo la kuisetiri serikali na si mara moja alipobanwa ameshindwa kukiri mapungufu dhahiri ya Kikwete na badala yake kumsifia. Sitta kwa upande wake alionyesha woga wa hali ya juu alipoamua kuufunga mjadala wa Richmond ili kuwapa ahueni viongozi wa juu wa serikali wasiumbuke. Hapana hawa wawili wameonyesha udhaifu mkubwa wanapokabiliwa na maamuzi mazito.

Bila shaka yoyote walichukua maamuzi hayo ili kulinda maslahi yao na pia kuendeleza tabia ya CCM ya kulindana na hawana tofauti yoyote na viongozi wengine humo ndani. Hakuna hata moja kati yao, kwa mfano, aliyelalamikia kitendo cha uongozi wa juu wa CCM kuwapigia kampeni vinara wa ufisadi katika uchaguzi uliopita. Hii peke yake yatosha kutuaminisha kuwa hawaoni tatizo lolote na watu hao ikiwa na maana kuwa wote ni wachafu kwani wanaogelea kwenye dimbwi moja hilo hilo lililochafu.

Hapana wanaochukia uchafu njia iko moja tu, kutoka na kuoga wasije wakanuka !
mkuu kama hujui sita ni mmoja wa watu waliosaidia kwa kiwango kikubwa kuleta mapinduzi kataika uchaguzi huu na kufanya wapinzanai kupata viti vingi bungeni basisina nama nyingine nzuri ya kukeleze
efffect ya sita kama spika wabunge lililopita kwa mafaniko ya wapinzani ni kubwa
mapinduzi si lazima yatoke nje ya ccm, yanaweza kueendeshwa na wanaharakati hata ndani ya chama ccm



Hakuna msafi wa kweli anayeweza kubaki CCM! HAKUNAAAA! Wote Majambazi tu. Wapiganaji wa kweli wako nje ya CCM.
Mkuu wasafi ccm wapo tena wengi sana, hidhana ya kudhani ukiwa tu ccm basi si msafi minadhani ni upeo mfupi na hasa pale mtu anapofanya vizuri lakini anapondwa tu eti kwasababubu yuko ccm, kama ndugu yako muuaji haizuii wewe kumuona na kuongea nae,
ccm watu wasafi wapo wengi sana taizo lenu hadi watoke ccm waje chadema ndio mnaona wasafi, labda wenzetu mtueleze mtu msafi ni yupi, maana kama mtu anapangiwa majukumu yake ya kazi na anayafanya ipasavyo na kwa moyo unataka nini tena,
 
Jamani mie ndio mada za siasa nimeziona ni upuuzi mtupu maana ukisema CCM si wasafi mie nikuulize Chadema na CUF wasafi? Ah ndio maana nasema bora mtu uwe huna chama basi maana wanasiasa ni wasanii hakuna hata aliye msafi.
 
Jamani mie ndio mada za siasa nimeziona ni upuuzi mtupu maana ukisema CCM si wasafi mie nikuulize Chadema na CUF wasafi? Ah ndio maana nasema bora mtu uwe huna chama basi maana wanasiasa ni wasanii hakuna hata aliye msafi.
Mkuu kwa hapa jf wasafi ni chadema tu, full stop, ccm na wapinzani wengine hamnakitu
na ndio maana nikawauliza ni usafi gani wanaouzungumzia?
 
Mkuu unataka usafi gani, kama wa malaika, kama unataka huo basi sio ccm tu nadhani dunia nzima hakuna, Mpendazoe ni shujaa wa kweli kwako sababu tu alisoma alama za nyakati zilizo mshinda selelii na shibuda na wala si kama hivyo unavyofikiri wewe.
labda nikusaidia jambo moja kujua, watu wanakosoana katika utendaji lakini katika kutafuta madaraka kama chama lazima muende kama kitu kimoja, just simple like dhat mkuu, sasa kama hutaki hata wake pamoja napata mashaka



Waberoya, hivi mbowe na na wenzake hawana familia na they dont care about affairs zao? natumai unajua kazi ya wapinzani ni nini na walioko madarakani ni nini, ni haki ya zito kusema ccm wote wameoza ilikujijenga


mkuu kama hujui sita ni mmoja wa watu waliosaidia kwa kiwango kikubwa kuleta mapinduzi kataika uchaguzi huu na kufanya wapinzanai kupata viti vingi bungeni basisina nama nyingine nzuri ya kukeleze
efffect ya sita kama spika wabunge lililopita kwa mafaniko ya wapinzani ni kubwa
mapinduzi si lazima yatoke nje ya ccm, yanaweza kueendeshwa na wanaharakati hata ndani ya chama ccm




Mkuu wasafi ccm wapo tena wengi sana, hidhana ya kudhani ukiwa tu ccm basi si msafi minadhani ni upeo mfupi na hasa pale mtu anapofanya vizuri lakini anapondwa tu eti kwasababubu yuko ccm, kama ndugu yako muuaji haizuii wewe kumuona na kuongea nae,
ccm watu wasafi wapo wengi sana taizo lenu hadi watoke ccm waje chadema ndio mnaona wasafi, labda wenzetu mtueleze mtu msafi ni yupi, maana kama mtu anapangiwa majukumu yake ya kazi na anayafanya ipasavyo na kwa moyo unataka nini tena,

John 8:7, Quran 5:8
 
Mkuu kwa hapa jf wasafi ni chadema tu, full stop, ccm na wapinzani wengine hamnakitu
na ndio maana nikawauliza ni usafi gani wanaouzungumzia?

Bunch of opportunist nawaona mie nilikuwa na namkubali Dr Slaa maana ana uchungu kweli na Tanzania. Lakini wengine baadhi yao ni opportunist tu hawana lolote
 
Mwaka jana kajitokeza shujaa moja tu ndani ya CCM kwa jina Fred Mpendazoe na kweli hivi sasa kaungana na wapiganaji wa kweli kutetea maslahi ya taifa.

Je mshikamamo uliopo sasa ndani ya CCM kati ya waliojiita wapiganaji na wale waliojulikana kama vinara wa ufisadi, tuuelezeje ?

Tumeshuhudia wanavyokaa pamoja, wanavojadiliana pamoja na wanavyotoa maamuzi ya pamoja, hii hali yaashiria nini ?

Binafsi siamini kuwa kuna msafi hata moja ndani ya CCM lakini kama wapo nawaomba wana JF muwataje kwa majina na kwa nini mnaamini ni wasafi.

Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe. Baadhi ya wanaoitwa "wapambanaji" wamerudi bungeni kwa kuchakachua kura toka kura za maoni mpaka uchaguzi mkuu, fuatilia Same mashariki utaelewa nasema nini. Unategemea mtu kama huyu awe mpambanaji wa kweli? Pili bado wanaburuzwa mno na maamuzi ya chama, angalia uchaguzi wa spika, wamemwacha 6 atupwe nje, wakakubaliana na hilo kwa kumpa kura huyu mama. Walipaswa at least waonyeshe passive resistance kwa kumyima kura. Ule uchaguzi ulikuwa ni wa siri, lakini walishindwa hata kuitumia nafasi hiyo. Mwisho tukumbuke walikubali issue ya richmond iyeyushwe kirahisi namna hiyo. Biblia inasema "...uwe mwaminifu hata kufa...", hapo walituangusha sana, wakajali zaidi maslahi yao binafsi na chama chao. Mpendazoe alionyesha upambanaji wa kweli.
 
Kwa kiasi fulani nakubaliana na wewe. Baadhi ya wanaoitwa "wapambanaji" wamerudi bungeni kwa kuchakachua kura toka kura za maoni mpaka uchaguzi mkuu, fuatilia Same mashariki utaelewa nasema nini. Unategemea mtu kama huyu awe mpambanaji wa kweli? Pili bado wanaburuzwa mno na maamuzi ya chama, angalia uchaguzi wa spika, wamemwacha 6 atupwe nje, wakakubaliana na hilo kwa kumpa kura huyu mama. Walipaswa at least waonyeshe passive resistance kwa kumyima kura. Ule uchaguzi ulikuwa ni wa siri, lakini walishindwa hata kuitumia nafasi hiyo. Mwisho tukumbuke walikubali issue ya richmond iyeyushwe kirahisi namna hiyo. Biblia inasema "...uwe mwaminifu hata kufa...", hapo walituangusha sana, wakajali zaidi maslahi yao binafsi na chama chao. Mpendazoe alionyesha upambanaji wa kweli.

True mkuu
 
Bunch of opportunist nawaona mie nilikuwa na namkubali Dr Slaa maana ana uchungu kweli na Tanzania. Lakini wengine baadhi yao ni opportunist tu hawana lolote

Kama ulikuwepo vile - Eti wapiganaji ndani ya CCM my foot !! - Opportiunists waliobobea !:A S angry:
 
...Kulingana na hali ya nchi yetu inavyoelekea na upepo wa vyama vya siasa....KWA KUJIAMINI NA BILA SHAKA NATAMKA KUWA HAKUNA MPAMBANAJI WALA UPAMBANAJI NJE YA CHADEMA......Yeyote aliye nje ya CHADEMA kwa upepo huu si mpambanaji hatakuwa mnafiki..............

Nasubiri matusi..............
 
Hapan hatuwezi kutukana ila naimani wamwisho sikuzote upenda kuwa wa kwanza ipo siku utaona utamu wa wa kuwa wa kwanza bado upo usingizina pole lalalala
 
Back
Top Bottom