Jamani nimemkumbuka sana First Lady wetu Salma Kikwete........sijamuona siku nyingi sana na si kawaida yae kutong'aa habarini kwa muda wote huu........ama badu kuna tetesi za hapa na pale mjini hapa.......kuna mwenye ujuvi wowote atujuze???
WAMA haina jipya ndo maana haonekani .alafu alifanya promo last half ya mzee so sasa hivi hamna haja ya promo maana mzee anaenda kuachia ngazi kwa vyovyote vile
WAMA haina jipya ndo maana haonekani .alafu alifanya promo last half ya mzee so sasa hivi hamna haja ya promo maana mzee anaenda kuachia ngazi kwa vyovyote vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.