bulldoza
Senior Member
- Sep 28, 2011
- 133
- 42
Pole dada kama ni ndoa ya kanisani haina jinsi vumilia tu,ninyi ni waislamu unaweza ongelea issue ya talaka lakini kama ni mkristo na ndoa imefungwa kanisani mama hapo pana kazi maana yeyote atakayeachana na mwenzake na kwenda kuolewa ili hali mwenzake wa ndoa bado yu hai AZINI.,hakikisha hakuna kuchoka mahusiano yale yale yaliyokuwepo kabla ya kuzaa yanaendelea kama mume wako ni wa goli tano mpaka asubuhi jitahidi angalau ukiishia nne sio mbaya lakini kama kabla ya kuzaa mlikuwa mnafunga tano umezaa zimepungua mpaka moja au sifuri asikudanganye mtu lazima mwenzako atatoka tu..Ushauri wa bure huo.
Manyusi umenifanya nicheke haa haaaa haaaaa hope na Amelie amecheka pia ujumbe mzuri na mzito kazi kwako mama