VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 786
Ndio sisi watu wa "skejo"!!Wabeba box ndo watu gani?
Ndio sisi watu wa "skejo"!!Wabeba box ndo watu gani?
@vuvuzela duh, duh
umeniacha sina cha kusema.
$3500, ni nyingi sana laki hapa hapa bongo watu wanapiga zaidi ya hapo big time
pesa nyingi nadhani ni relative sana kutokana na mazingira na uelewa.
Nyani Ngabu ameshakwambia tunapata 401K (IRA/Roth).
Tutaendelea kupiga box na tukizeeka kurudi bongo tuna 401k zetu zinatulinda. On top of that nitakuwa nakamata Social Security check kila mwezi kuanzia nitakapostaafu hadi nikifa. In addition, Kwa waliopitia US army wanakula veterans benefits.
At least nitakuwa na uhakika wa check ya $ 3500 kila mwezi hadi nikiingia kaburini. Nimesha-set direct deposit na CRDB (Forex).
$ 3500 kila mwezi kwa maisha ya bongo sio haba. Nikijisikia medical check up na matibabu badala ya kwenda India nitakuwa narudi US at least once a year. Ukizingatia as a senior nitaqualify for Medicare!! God Bless America!!
Boksi halimtupi mtu banaaa
Hiyo ni average check ya benefits ya ukiwa mzee ume-retire na hufanyi kazi uko nyumbani umetulia, kula kulala.
Sio pesa ya ukiwa unapiga schedule. On top of that Medicare inanilinda as a senior
Nyani Ngabu ameshakwambia tunapata 401K (IRA/Roth).
Tutaendelea kupiga box na tukizeeka kurudi bongo tuna 401k zetu zinatulinda. On top of that nitakuwa nakamata Social Security check kila mwezi kuanzia nitakapostaafu hadi nikifa. In addition, Kwa waliopitia US army wanakula veterans benefits.
At least nitakuwa na uhakika wa check ya $ 3500 kila mwezi hadi nikiingia kaburini. Nimesha-set direct deposit na CRDB (Forex).
$ 3500 kila mwezi kwa maisha ya bongo sio haba. Nikijisikia medical check up na matibabu badala ya kwenda India nitakuwa narudi US at least once a year. Ukizingatia as a senior nitaqualify for Medicare!! God Bless America!!
Boksi halimtupi mtu banaaa
Aisee! Unatisha! Ukifikiria kuoa mitala unistue basi. Umekuwa handsome ghafla!
@vuvuzela duh, duh
umeniacha sina cha kusema.
$3500, ni nyingi sana laki hapa hapa bongo watu wanapiga zaidi ya hapo big time
pesa nyingi nadhani ni relative sana kutokana na mazingira na uelewa.
Swala sio kupanda ndege na kwenda ndugu,ila nachosema sio kweli kwa ile hoja kwamba@emilia
basi wote kesho tunapanda ndege twende huko ambako hamna foleni ya kutoka tegeta kwenda posta
reference ya Tz ni dar tu?
Mikoa mingine ina foleni?
Hivi ni nani mwenye akili atasema kuwa ile mivumbi yote na ile mitope ndo kama mamtoni? Mamtoni gani kwenye mivumbi na mitope kama bongo?
Teh teh teh...King'asti hulazi damu eeh
Duh!...
We si tayari unae wako....lol
Ndio maana nashangaa hao wengine mpaka watafutiwe na Rais wao! Duh!
Hey..I'm just giving back to my community. It's part of my charity network outreach.
Wenyewe madomo zege :]