Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
- Thread starter
- #81
ndivyo ilivyo.
Nusu ya kunya ndo ikoje?
ndivyo ilivyo.
Nusu ya kunya ndo ikoje?
inakuwa haijakamilika.
Kwa hiyo kimba linatoka nusu na nusu linabaki ndani?
kimba ndio nini?
Kimba ni mavi linalotoka refu....linakuwa kama soseji soseji hivi. Au wewe unakunyaga mavi yaa ya mbuzi...yale ya vigoroli goroli?
hahahaha! Raisi unabishana na husninyo kuhusu makimba!
ndio. ndio.
majukumu yako ya uraisi unatekeleza sa ngapi?
saa tatu asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni
sahivi sa ngapi huko kwenu?
kama huko kwako
kwangu ni sa tano asubuhi. Ni sawa na kwako?
ndio. ndio.
kwahiyo unatakiwa ufanye kazi sio kubishana makimba! (uliniambia kazi unaanza sa tatu hadi kumi na moja)
Leo jumamosi.
Wabeba box ndo watu gani?
nyani ngabukina dada,
kwa wale wote mnaopenda kujipatia wabeba maboksi wenu nitumieni pm. Mimi kama raisi wao hapa jf nime compile bonge moja la profile database na lina karibu kila kitu upendacho kujua kuhusu mbeba maboksi wako unayetamani kuwa naye.
Jipatie mbeba maboksi wako...usilaze damu. Tuma pm.
nyani ngabu
hope umeweka mwisho wa siku za kubeba mabox hiyo ni muhimu sana wasije sahau majumban mwao na vijisent vya kubadilisha chupi bana walete bongohao tupambane