Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Vile umesema unapenda nyimbo za kiganda nikashangaa au una undugu na banyankole?
Honestly umeudhika? Kama ndivyo samahani Kipipi
Hahah mie nazipenda tu tena sana....na ni mTZ halisi hata ugandani sipo kabisa!!
Wala wanyankole sihusiani nao mwaya!!
To be honesty....hakuna kilichoniudhi mpendwa wangu....na sijaudhika hata chembe!
So, haina haja ya kusema samahani Kaizer.
Uwe na amani tu!
Last edited by a moderator: