Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,776
Mkanye, au labda Ana hasira na hiyo meli.
Mie na hasira wapi na wapi !
Hata hivyo hii meli imenihuzunisha si haba Remmy!
Kifo cha mma usikiskie mpendwa!
Hata nafikiri kudhani bora cha ndege!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkanye, au labda Ana hasira na hiyo meli.
Mie na hasira wapi na wapi !
Hata hivyo hii meli imenihuzunisha si haba Remmy!
Kifo cha mma usikiskie mpendwa!
Hata nafikiri kudhani bora cha ndege!
Mi napenda JF na huwa naingia kila baada ya nusu saa
Mwilini napenda sana Chogo langu
Umeina eeeeh lolTehteeeeeeeeeee chogo hahahahaaaa umetishaaaaa shemlake
Haya gud 9tUmeina eeeeh lol
Usiku mwema shemito wangu
Kipip ineed sm extra ordinary ting coz sleeping kilamtu anpenda lala it jus amtter of avn time bt listening to music, playn futbal, smilling, laughin, crying hehhee, dancing, ps, watchn movie and many many ting hp imade my self clear kipipi darlinMie napenda kulala.....tena sana! Kuhusu sehemu ya mwili, nakipenda sana kipara changu tu!
morning guys
Hebu mnambie ni kitu gan wewe mwana jf unakipenda kukifanya au huwa unakifanya mara kwa mara yan kilasiku lazma ukifanye na pia unaeza fanya mara nying sana kwa siku na huwa wakifurahia
Na suala lingne ni jee ni sehemu gan ya mwil wako ambayo ukitazama hivi wasema naaaaam hakika mungu hakukosea mwanakwetu.
Mbali na kulala napenda kusikiliza/kuangalia dance hall, ragga na nyimbo za kiganda! Nambie kama nimepatia kujibu swahiba.
kwa upande wangu mimi kitu ambacho napenda kukifanya na ambacho huwa naweza kukifanya kwa muda mrefu kuliko vitu vyote nikaa na computer...Yaani mimi na computer ni kama mke na mume ingawa hatujfaunga ndoa ila mahari tayari nimeshatoa...Yaani naweza kuspend naye kuanzia asubuhi hadi usiku wa mananae bila kuchoka. Sijui nimerogwa au nimechanjiwa...lakini kusema ukweli hii computer imeuteka sana moyo wangu na kuutundika juu ya CPU hadi vitu vingine vizuri sivioni.
Kabisa beibe nasty, na muda mchache ulopita nimetoka kuangalia top 10 za kiganda!
Kabisa beibe nasty, na muda mchache ulopita nimetoka kuangalia top 10 za kiganda!
Top ten za kihaya huzipendi?
'Omwalimu owa nyakato' waujua weye?
Kayaizile kusindika olwigi bojo
Akshanga lutaina chomeko
Akashanga bafumbaine mbaushana abayaudi,
Yamukwata omushaija yamutema ebigulutwa
Malaika na mukamawe malaya kazilo akalaba omudirisha.....
Jitoe ufahamu wenzio wanaumwa wanafikia hadi hawapati watoto sa we endelea na computer mionz si mizuri jata utazaa laptop hiyo si desktop
Hii ni desktop mama. Kama ni kufa kwa mionzi ningeshakufa siku nyingi maana in my room ambapo ndio kuna ofisi yangu huku kila kitu ni wireless kuanzia keyboard, mouse, hadi internet. Huku ni mwendo wa kwenda na wakati tul.