Erasto..sichila
Member
- Apr 9, 2012
- 78
- 8
Kuna wanzanzibar eti hawataki muungano ,hawa watu wanatumiwa na viongozi wa huko wasiotaka muungano baada ya kuanza mchakato wa katiba mpya hatuwalazimishi nafikiri waende kwenye mahakama ya kimataifa kufungua kesi ya kuvunja muungano,mbona sudani kusini wameweza au hawa niwapiga keleletu mi nawashauri watumie mchakato wa katiba mpya kudai hili kama kweli wanaweza au ndio wanatikisa kiberiti?njiti ndugu zangu zimejaa