Ngolinda
Senior Member
- Apr 12, 2010
- 125
- 25
Huyu Wandwi ana matatizo:
1. Je ni kweli kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki? mbona waangalizi wote wa nje na ndani wameripoti kwamba haki ilifinywa?
2. Kama kweli hakukuwa na makaratasi ya kura bandia, wale wagombea wa CCM kama vile Mahanga walitoa wapi yale maboksi ya kura?
3. Kama ni kweli kwamba wananchi walikuwa wanafuata helikopta ya CHADEMA, mbona CCM walikuwa wanatumia helikopta tatu....na bado walihitaji kusomba wananchi kwa mabasi na malori pamoja na kuwapa posho ili kuhudhuria mikutano yao?
4. Kama ni kweli kwamba CUF wana mtandao mpana vijijini kuliko CHADEMA kwa kuwa walikuwa wakitumia magari kwenye kampeni kupita vijijini na kuwafikia wapiga kura wengi, mbona CHADEMA wamepata kura milioni mbili na zaidi pamoja na kuchakachuliwa...ambazo ni nyingi mno ukilinganisha na zile laki sita za CUF?....na mbona CHADEMA wamepata wabunge wengi katika kona mbalimbali za nchi wakati CUF wao wapo visiwani na Lindi tu?..Hapa ni chama gani kina mtandao mpana kati ya CHADEMA na CUF?
5. Ni kwa nini Wandwi aseme sasa? ...kwa sababu ameshindwa na CHADEMA ubunge musoma mjini?...ama CUF wapo karibu zaidi na CCM kimahusiano kuliko nyama vingine vya upinzani?.....
Mimi namuona huyu kama mfa maji na asiyevumilia maumivu ya kushindwa..tena kihalali.
1. Je ni kweli kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki? mbona waangalizi wote wa nje na ndani wameripoti kwamba haki ilifinywa?
2. Kama kweli hakukuwa na makaratasi ya kura bandia, wale wagombea wa CCM kama vile Mahanga walitoa wapi yale maboksi ya kura?
3. Kama ni kweli kwamba wananchi walikuwa wanafuata helikopta ya CHADEMA, mbona CCM walikuwa wanatumia helikopta tatu....na bado walihitaji kusomba wananchi kwa mabasi na malori pamoja na kuwapa posho ili kuhudhuria mikutano yao?
4. Kama ni kweli kwamba CUF wana mtandao mpana vijijini kuliko CHADEMA kwa kuwa walikuwa wakitumia magari kwenye kampeni kupita vijijini na kuwafikia wapiga kura wengi, mbona CHADEMA wamepata kura milioni mbili na zaidi pamoja na kuchakachuliwa...ambazo ni nyingi mno ukilinganisha na zile laki sita za CUF?....na mbona CHADEMA wamepata wabunge wengi katika kona mbalimbali za nchi wakati CUF wao wapo visiwani na Lindi tu?..Hapa ni chama gani kina mtandao mpana kati ya CHADEMA na CUF?
5. Ni kwa nini Wandwi aseme sasa? ...kwa sababu ameshindwa na CHADEMA ubunge musoma mjini?...ama CUF wapo karibu zaidi na CCM kimahusiano kuliko nyama vingine vya upinzani?.....
Mimi namuona huyu kama mfa maji na asiyevumilia maumivu ya kushindwa..tena kihalali.