TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Wanawake toka visiwa vya Unguja na Pemba wameandamana kupinga wanawake wa kutoka Tanga kuwaibia wanaume zao. Wanawake hao wamedai waume zao wakinaswa kwenye mapenzi kwa wanawake toka Tanga basi waume zao wanazamia moja kwa moja na kusahau wake zao majumbani.
Source: mm mwenyewe nimeshuhudia maandamano hayo jana.
Source: mm mwenyewe nimeshuhudia maandamano hayo jana.