Wanawake wengi wasomi au wenye kipato kizuri hawadumu kwenye mahusiano!

kwa nini ndoa iwe utumwa? Ni kwa sababu ya huu usawa. Kama wazazi wako wangeachana kama unavyoshauri wewe sidhani kama tungekuona hapa jf. Ungekuwa juha fulani huko.
Kila mtu atimize wajibu wake katika ndoa. Watoto wana haki ya kunyonya maziwa ya mama, sio ya ngombe. Wao sio ndama

Wazazi wangu waliachana kwa sababu ya hato mambo unayoyaongelea. Since then, wote wamekuwa na maisha ya furaha sana. Ninayaongea haya kwa sababu hakuna nafsi iliyoumbwa kuteseka kwa ajili ya kurahisha mwingine labda muumba tu!

Hapo kwenye blue...Bado unaamini mimi juha?
 
Ni kweli ndoa nyingi zina matatizo sana, na mara nyingi sana wanawake ndio chanzo mara anasema ohh mi nafanya kazi kama wewe sasa usiniambie habari ya chakula,maji wala nguo zako haki sawa, lakini kibaka akija ukimwambia hebu toka nje uangalie mbwa wanabweka sana, si haki sawa?!! hataki na anakuambia mwanaume gani!!

Wengine wanatukana waume zao kwamba mimi nina masters wewe na ka degree kako huna maana hayo yapo ni suala lao kujirekebeisha ama la hawatadumu kwenye ndoa.watabaki wanapiga majungu ohh mwanaume malaya ooh hanipendi..nani apende mwanamke anaemtukana?!!


Na nani anapenda mwanamume amtukane? Kama hutaki kutukanwa usitukane!
 
weeeee hii hata mie siamini......
hatutaki kuwa kama wanaume lakini tunata kuwa na madaraka zaidi kuliko hiyo miaka ya nyuma ....
ninacho elewa mimi wanawake wengi wanata kila kitu 50/50 kwenye ndoa zao.....
bado unachoice ya kumuoa mbae si msomi...

Karibuni sana kwenye kuzibua vyoo! kuchimba mitato na makaburi, pia kukoroga zege na kwenda mirerani kuchimba mawe
Karibuni sana
 
Karibuni sana kwenye kuzibua vyoo! kuchimba mitato na makaburi, pia kukoroga zege na kwenda mirerani kuchimba mawe
Karibuni sana

asante sana Kimbweka....
ilimradi itaniwekea kitu mfukoni na tumbo lijae basi hakuna neno kabisa...
na we utakuwa maeneo haya wakati mi nafanya hizo kazi ??
au we utakuwaa nyumbani unawanyonyesha watoto ???lol
 
asante sana Kimbweka....
ilimradi itaniwekea kitu mfukoni na tumbo lijae basi hakuna neno kabisa...
na we utakuwa maeneo haya wakati mi nafanya hizo kazi ??
au we utakuwaa nyumbani unawanyonyesha watoto ???lol

Hizi ni kazi zangu nitakuwa mstari wa mbele kukufundisha namna ya kushika sururu, mtarimbo na beleshi, pia ile mipira ya kusompokoa uchafu wa vyooo
Karibu sana
 
Mwanamke ni mwanamke na ataendelea kuwa mwanamke... Mwanamme ni mwanamme na ataendelea kuwa mwanamme.... Popote pale kama source of command inakua zaidi ya moja, in a single commanding post... hua ni vurugu!! Na mwanaume ndo kichwa cha mji wowote ule. Napindi inapokuwa kinyume shida lazima itatokea. Ni kweli baadhi ya wanawake waliosoma sana hua wanakabiliwa na SUPERIORITY COMPLEX!!
 
Huu ni mtazamo tu iawezekana ikawa sahihi au siy o sahihi. Kuna wanaume ambao hawajasoma na ni kero sana lakini wapo waliosoma nao ni kero vilevile.
Cha msingi chagua mwenzi wako kwa uangalifu mkubwa. Usiingie kichwakichwa kuoa..fanya kazi ya ziada kuchunguza kama mnaendana ama lah! Usifuate sura wala kisomo...fuata utu wa mwanamke.Unaweza kubahatika ukapata total package vile vile - urembo, usomi nk.
 
Hizi ni kazi zangu nitakuwa mstari wa mbele kukufundisha namna ya kushika sururu, mtarimbo na beleshi, pia ile mipira ya kusompokoa uchafu wa vyooo
Karibu sana

hahahha lol
usijali as long ur there to show me...
twende mbele kwa mbele....

lakini mmmmmmmhhhhhhh hii haiendani kabisa na kazi hizo lol hahah lol
 
Nafikiri jibu la Nanren is best pick, Tubutupu must be specific what level of education, lakini tabia haina cha msomi wala cha hasio msomi. It is an in born thing mind you.
 
Insecurity at its best!!!Heshima hailetwi wala haiondolewi na ELIMU!!

u thought half way, go deep & search, most of educated women their marriage is worst, & reason is pure and simple, they cannot have limit, maisha ya ndoa wapi na kazi na ubosi wapi, hasa Miaafrika, this touch you i know, but truth will remain as it is
 
I see most JF men continue to live in dark ages; and are so immersed in patriarchy and double standards. Jamani hivi nyie wanaume mnapenda watoto wenu wakike wawe enslaved or wawe liberated human beings? Mbele za Mungu wote tu sawa, japo most cultures ziko dominated by mfumo dume unaokandamiza wanawake; what men miss is that being educated is not necessarily source of arrogance, kwani ndoa nyingi zinazo=fail ni za wanawake educated? Acheni mada kama hizo otherwise you are no different from politics that oppress most Tanzanians. Mbona nyie hampendi kuumizwa na utawala mbovu nk? Who in this era really wants to be used and dominated> And where is it stated that women must have certain prescribed roles? Dont dare use Holy books to justify your male ego; that is sickening and in fact if such topics surface here, you might as well be assured that for us women you are gender sensitive and who value human rights, will be decide to quit and discourage others to join that we thought was a forum for "great thinkers!!!" i am really surprised to find lame arguments in this forum, even my grandparents had more respect for women than some of the comments given here.
 
Mkuu sijakubaliana na utafiti wako mimi my wife amsoma hadi kale digrii ambako mkuu wa kaya anapewaga na vyuo mbalimbal bila kutolea jasho, lakini mambo swali kabisa we chat, we kiss, we do everything in harmoniously way. Labda hao wako kwa asili ni wakolefi fuatilia history yao kabla hawaejenda shule walikuwaje ndipo utajua kama elimu imewafanya wawe hivyo
 
AISE, Inavo onesha wewe mwenyewe ndio msumbufu kwa wanawake. Ndio maana wasomi hauwezani na wasomi. Sababu wanaume ambao sio wasumbufu wanaweza kuishi na kila mwanamke. Na wasomi uwaga wanataka wanaume wa kawaida tu, ambao sio wasumbufu. Na wanaume wanao sumbuliwa na wasomi uwaga ni matapeli tu, na wababaishaji....
 
u thought half way, go deep & search, most of educated women their marriage is worst, & reason is pure and simple, they cannot have limit, maisha ya ndoa wapi na kazi na ubosi wapi, hasa Miaafrika, this touch you i know, but truth will is
Wala haijanigusa maana sipo kwenye kundi hilo!Ila inashangaza mnavyong'ang'ania kua elimu ni chanzo cha dharau na kiburi!Sasa tusiende shule ndo tutaonekana tuna heshima sio?
 
Hivi kwanini wanawake wengi hasa wa kitanzania waliosoma ni wasumbufu katika ndoa. Wakisha olewa nao wanakuwa kama wanaume!!! Tabutupu hii!!!!

wanasumbuaje?wanakuwaje kama wanaume?..nielimishe kwahili mana napenda niolewe na mtu niliyemzidi kisomo hadi umri...
 
Hivi kwanini wanawake wengi hasa wa kitanzania waliosoma ni wasumbufu katika ndoa. Wakisha olewa nao wanakuwa kama wanaume!!! Tabutupu hii!!!!

inaonekana yamekukuta! pole kijana, sredi yako ina ukweli espesheli kwavile hukujeneralaiz, umetumia neno "wengi" , na hawa kinadada badala ya kuahidi kubadilika ndio kwanza wanakurembeaga madongo. tutafika kweli?
 
Huu ni ukabila tu, ukaburu mtupu hakuna jingine! Kwa mawazo yako mkurya au mjita na hao wengine uliotaja hawawezi kuwa kwenye ndoa na watu wa kabila tofauti, umechemsha bro, uongo mtupu huu na tena ni uzandiki uliojaa ubaguzi wa kikabila. Una maana kila mtu akaoe kabila yao tu ndio atapata ndoa nzuri? Watu kama nyie ndio hamtakiwi katika nchi hii, kutwa kuwaza ukabila tuuuu, yaani this is so primitive!

Mkuu umenichekesha sana na reaction yako, lakini nakuelewa kabisa. Ukweli ni kwamba si-condemn kabila lote kwa tabia za watu wachache, nilichokuwa najaribu kusema ni kuwa kuna taofauti za makabila ambazo zinaji-manifest kwenye tofauti za utamaduni ambazo baadaye zinakuwa tatizo kwenye mahusiano ya watu. Na vilevile kuoa mwanamke wa kabila lako sio guarantee kuwa kila kitu kitakuwa sawa, kwa hiyo mzee usinicondemn kwa ukabila na ukaburu, mwenyewe siupendi. Binadamu ni binadamu tu bila kujali rangi yake, kabila lake, dini yake au alikotoka. lakini ninachosema ni vizuri maadili yakiendana ili kusiwe na purukushani baadaye.
 
Back
Top Bottom