MwalimuZawadi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2007
- 643
- 68
Hakuna ukweli hapo! Nijuavyo na kuamini mimi wanawake wasomi na wenye kipato huwa na mapenzi ya kweli na hujali sana ndoa zao, labda itokee mume awe bazazi, ndiyo sababu ya wadada hawa sababu wako independent huamua ku move on, Angalia Asha-Rose Migiro anatesa na ndoa yake, hajaota wala mapembe!
Mkuu Masanilo
Hapo kwenye wino hapo hapo hapo hapoooooo ndipo nina swali nako.
Ila mtu ukioa mwanamke msomi mwenye kazi ya maana kaza buti, maana uongo ndogo ndogo anaziwekea theory, ghafla bin vuu anakudaka tena kiurahisi. Maana anakuwa na matandao mkubwa wa habari na marafiki. Ila unaenjoy viburi vya kijinga hakuna