Wanawake wengi wasomi au wenye kipato kizuri hawadumu kwenye mahusiano!

Hii ni tabia ya mtu hata kama asome, asisome kama aliumbwa na Kiburi atakua nacho tu.....
 
Women have been empowered these days. Our men ego should shift otherwise we would think the women we have are no wives material. The problem could not be women... the problem might be how men think about women. Just note that gone are days when women were just for cooking and raising kids.
Now days they can as well finance our household budgets.
Being empowered doesnot mean you are excluded from your responsabilities. Mwanaume ni mwanaume na mwanamke atabakia hivyo mwanamke. Mbona tukisema kuna viroba vya ngao tukavinyanyue wanasema kunawanaume kama wamekuwa empowered kweli??.
 
Twanga kotekote - Mwanamke akikusumbua tafuta "small house" - small house akileta tabu nenda "ohio street" - acha kuumiza kichwa kwa sababu ya mwanamke - there are so many "out there"
.
Twanga kokote siyo solution. maana ataendelea kuwa mkeo, na unaweza pata ngoma bure.
 
back to the roots: Bible and Quran, tatizo siku hizi maneno ya hivi vitabu hayathaminiwi!
 
Ama? Kumbe wewe Tupu unapenda mamlaka. Ulitaka wanawake wawe chini kielim ili uwe na power eh? Kusema eti wanawake kama wanaume una maana gani kwanza? Kwani mwanaume ananini kichwani ambacho mwanamke hana? Fikra zako hizo sio sahihi kabisa, unatoka poli la wapi mzee? Hata wa polini wanaelewa kama haufit na mked atasumbua tu awe na elim na hasiwe na elim.
 
Sijatoka poli lingine zaidi ya lile ulilotoka, pili hujaelewa vizuri. si maana hiyo o. Tatu inamaana hujui tofauti kati ya mwanaume na mwanamke etc. Nitacho zungumzia ni role ya mwanamke katika familia na namna gani elimu itamfanya awe bora zaidi kama mlezi na mama wa familia. Najua na ninatambua ni wakati wa kugeuza mitazamo hasi tuliyokuwa nayo juu ya wanawake lakini bado tunachangamoto nyingi zinazo tukabili kwani utakuta ile role ya mwanamke katika familia inakufa kutokana fikra potofu walizojijengea.
 
Ama? Kumbe wewe Tupu unapenda mamlaka. Ulitaka wanawake wawe chini kielim ili uwe na power eh? Kusema eti wanawake kama wanaume una maana gani kwanza? Kwani mwanaume ananini kichwani ambacho mwanamke hana? Fikra zako hizo sio sahihi kabisa, unatoka poli la wapi mzee? Hata wa polini wanaelewa kama haufit na mked atasumbua tu awe na elim na hasiwe na elim.

Sijatoka poli lingine zaidi ya lile ulilotoka, pili hujaelewa vizuri. si maana hiyo o. Tatu inamaana hujui tofauti kati ya mwanaume na mwanamke etc. Nitacho zungumzia ni role ya mwanamke katika familia na namna gani elimu itamfanya awe bora zaidi kama mlezi na mama wa familia. Najua na ninatambua ni wakati wa kugeuza mitazamo hasi tuliyokuwa nayo juu ya wanawake lakini bado tunachangamoto nyingi zinazo tukabili kwani utakuta ile role ya mwanamke katika familia inakufa kutokana fikra potofu walizojijengea
 
weeeee hii hata mie siamini......
hatutaki kuwa kama wanaume lakini tunata kuwa na madaraka zaidi kuliko hiyo miaka ya nyuma ....
ninacho elewa mimi wanawake wengi wanata kila kitu 50/50 kwenye ndoa zao.....
bado unachoice ya kumuoa mbae si msomi...
 
Twanga kotekote - Mwanamke akikusumbua tafuta "small house" - small house akileta tabu nenda "ohio street" - acha kuumiza kichwa kwa sababu ya mwanamke - there are so many "out there"

mmmmmhhhhhhhh umeanza
ngoja bibie (Dena) apitie mitaa hiii lol
 
weeeee hii hata mie siamini......
hatutaki kuwa kama wanaume lakini tunata kuwa na madaraka zaidi kuliko hiyo miaka ya nyuma ....
ninacho elewa mimi wanawake wengi wanata kila kitu 50/50 kwenye ndoa zao.....
bado unachoice ya kumuoa mbae si msomi...
.
Labda twambie ni madaraka gani mnataka na hiyo 50 / 50 ni katika yapi?. Mie nafikiri hata siku moja hatuta kuwa na uwiano huo wa 50/50 ktk mambo yote.. Pia kwanini tuone wasio soma kwa kuogopa hizo 50/50???
 
.
Labda twambie ni madaraka gani mnataka na hiyo 50 / 50 ni katika yapi?. Mie nafikiri hata siku moja hatuta kuwa na uwiano huo wa 50/50 ktk mambo yote.. Pia kwanini tuone wasio soma kwa kuogopa hizo 50/50???

mmmmmmhhhhh ndugu yangu naona umeamua kuniamsha asubuhu asubuhi......
ahhhhh bwana naposema 50/50 namaanisha zile shughuli ambazo zilikuwa za wanawake na wanaume wafanye....(which is happening a lot these days)
yap nakubaliana nayawe hatuwezi kuenda 50/50 katika mambo yote ..... lakini kwa yale yanayowezekana ...
na nilisema kama unaweza kuoa ambaye hajasoma kwasababu ya madai yako hapo juu (waliosoma ni wasumbufu) na si kwa ajili ya 50/50....
bado tnataka wanaume wawe vichwa vya nyumba zetu,,,
lakini ikija kweny decision making kuhusu mambo mengi ya hapo nyumbani na mengine mengi tunataka kuwa part of it..
si kama hapo miaka ya nyuma anachosema baba ndo kinachoenda mama hanausemi.....
 
Huwa ni inferiority complex kama mzee hujapiga kitabu!! Kama na wewe umepiga kitabu, una kazi nzuri hakuwezi kuwa na shida.
Problem ni pale mama atakapo anza kulipa fadhila ya kupewa uwaziri, ukurugenzi kwa kutoa uroda kwa waheshimiwa, hapo shida ita anza. Na kama ukifanya utafiti wako utagundua wengi wenye kiburi huko nyumbani ujue wazee wamesha anza kumega.
 
Hivi kwanini wanawake wengi hasa wa kitanzania waliosoma ni wasumbufu katika ndoa. Wakisha olewa nao wanakuwa kama wanaume!!! Tabutupu hii!!!!

pole anza kujiamini kama mwanaume,na yeye atakuheshimu...
ukiwa hujiamini hata ukipata mwanamke ambaye hajasoma atakuendesha tu...:teeth:
 
Hivi kwanini wanawake wengi hasa wa kitanzania waliosoma ni wasumbufu katika ndoa. Wakisha olewa nao wanakuwa kama wanaume!!! Tabutupu hii!!!!

You are too general! and you need to substantiate!

"Wanawake wengi hasa wa kitanzania"= WANGAPI?
"Waliosoma"= kwa kiwango gani? Std 7, F4, F6...?

Na ni usumbufu gani huo ambao unafikiri WASIOSOMA ndio hawanao?
 
Nyie bwana....
Kiburi ni hulka ya mtu...hata alieishia vidudu anaweza kuwa na kiburi vile vile!Sasa elimu gani inayompa kiburi hapo???
Tatizo lenu mnataka wanawake wabaki kua watu wakuambiwa na kufanya tu chochote wanachoambiwa hata kama sio
sahihi....basi mkikutana na mtu anaeweza kusema hapana basi inakua tabu.Na kama mtu hujiamini kwenye mahusiano
yako lazima utaona vitu vingi tu visivyokuwepo...kimoja wapo ni hicho kiburi!!!Uanaume sio kumwendesha au kumsukuma
mwanamke kama punda ,zama za kale zimeshapita....wanawake wana sauti sasa so get over it!!
Heshimu uheshimiwe...Dharau udharauliwe!!!:teeth:
 
wanawake starting F6 to varsity wengi kweli they are so stubborn, tatizo ni kujiona wamefika, but u cannot override nature, most of them wanadharau, ukikuta kaolewa mchunguze ni balaa huko home, her husband is almost rubbish to her, hili ni kweli, na wana shindwa kutofautisha
maisha ya ndoa, familia na kazi or their profession, they don't have limit yy kila mahala ni boss hadi home, huu ni ushamba sana/ blind to who they are once educated, mm binafsi napenda mwanamke mwenye elimu mwisho Diploma, period
 
Wengi ni ushamba zaidi unawasambua maana miaka ya huko nyuma walikuwa wamebanwa sasa wakiachiwa kidogo na kupata ka elimu inakuwa tabu tupu ila siyo wote kuna wanawake waliosoma tena wametoka familia za mambo safi lakini wametulia vizuri tu
 
Back
Top Bottom