fimbombaya
Member
- Apr 11, 2011
- 47
- 12
kwakeli nashindwa kujua kuwa ni nini hasa ambacho wanawake wanataka katika maisha hasa walio katika ndoa! nimelazimika kuongea hivi baada ya kugundua uchafu unaofanywa na rafiki yangu wa kiume kumchukua mke wa jamaa yangu! na kwakuwa mi wale wote ninawafahamu vizuri niliamua kuongea na rafiki yangu kumwuliza kulikoni atembee na mke wa mtu? alichonijibu ni kwanza alinishangaa na kuniambia kuwa yule hakuwa mke wa mtu!na nilipomweleza zaidi kuwa ni mke wa mtu na anawatoto 3 kwa mumewe! bado jamaa aliniambia ajuavyo yeye ni kwamba mwanamke huyo si mke wa mtu na pale anapoishi ni kwa kakake na wale ni watoto wa dadake! na kwa sasa mwanamke ni mjamzito na bado wanamahusiano. why?