Kaniambia akiipata kazi mume wake atapiga deki ndani!

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
622
1,643
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.

Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!

Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
 
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.

Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!

Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
Kama anafanya visasi sio poa, ila kupiga deki ndani mwanaume unapiga tu, sio hadi mkeo apate kazi.

Au mume kudeki ndani ni jambo baya sana?
 
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.

Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!

Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
Ama kweli umaskini mbaya sana, 25k anaona hela nyingi. Hata saidia fundi siku hizi wanapata hizo. Yaani umdharau mtu kwa kulipwa tuhela huto tena twa msimu loh
 
20240203_185803.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.

Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!

Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
Mwanamke hatariiii ONYO
 
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo mume wake mbona atapiga deki ndani.

Akasema ana rafiki yake kama wanahitajika watu wengi nikamwabia ampigie sasa anamjulisha rafiki yake halafu anamwambia hii dili nikiipata namtaka huyo boss atakayekuwa anatulipa, nikimpata sasa huyu mwanaume ndio atanijua mimi nani!

Yaani mpaka nawaza nisimconnect na jamaa, anaonekana ana kisasi sana na mumewe ndio vile tu hana namna ni mama wa nyumbani.
Watu tunalipwa per diem 150000 mpaka 200,000 hiyo ni mshamamba
 
Back
Top Bottom