Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Hahha hahah hahahah! Nicas Mtei,uhot wangu anaujua zaidi Rejao mweee!
Hapo kwenye usugar mumy sijaelewa lol!
Nami naujua pia.
Last edited by a moderator:
Hahha hahah hahahah! Nicas Mtei,uhot wangu anaujua zaidi Rejao mweee!
Hapo kwenye usugar mumy sijaelewa lol!
Hahahahah Nicas Mtei. . . ningenyamaza tu ehhhhhhh?
Hhahah hahha hahha, Kipipi taratibu mpnz,mtoto wa kike lake pozi atii!Matunda ya Mtambuzi yote nayakubali japo bado kuwaface to face, na dada yako Cantalisia (ana pozi za kichokozi huyoo na vipicha vyake, akikuangalia kama anakuita vile)
Hahaha hhah hahah, Nicas Mtei,utakuwa shehe mtabiri wewe!!Nami naujua pia.
Lizzy.......kiepe nitanunua mwenyewe, mi nataka tukutane na mama mchungaji kuleeee nilikomuonea besti maridadi! Lol
Hhahah hahha hahha, Kipipi taratibu mpnz,mtoto wa kike lake pozi atii!
Kipipi . . . .Kakondoo kama unamaanisha kule utanisamehe aisee. . .bado sijapata muda wata wakufuta vumbi. Alafu besti maridadi anaumwa masikini. . .embu mpe pole.