Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,800
- 59,267
Baada ya kuwafagilia na kumponda klorokwini last time, hii ni zamu ya wadada.
Ni m(wa)dada)/m(wa)mama gani hapa JF kutokana na namna wanavyochangia mambo, interect na watu wengine, mbwembwe zao unadhani wanavutia kwa sura na umbo (mwili)unaoeleweka badala ya lijitambi lisilobebeka hata kwa toroli?
Ni m(wa)dada)/m(wa)mama gani hapa JF kutokana na namna wanavyochangia mambo, interect na watu wengine, mbwembwe zao unadhani wanavutia kwa sura na umbo (mwili)unaoeleweka badala ya lijitambi lisilobebeka hata kwa toroli?
Last edited by a moderator: