nani akutolee povu wewe kilaza? Tunajaribu tu kukusaidia kisaikolojia! Huyo mwanamke wa JF aliyekupiga bao ukiwa na mumeo kitandani anastahili pongezi!Endeleeni kutoa povu.
Unachekesha.
Hahahahaha!!! Hii ID itakuwa imetokea Fea Wei..ha ha ah ha!.....
hii kesi ya hii aidii inabidi auziwe nani hii wajameni?
tupige kura kati ya hawa:
teamo
asprin
cpu
ld
askofu
ha ha ah ha!.....
hii kesi ya hii aidii inabidi auziwe nani hii wajameni?
tupige kura kati ya hawa:
teamo
asprin
cpu
ld
askofu
Fidel si ulichukuaga namba zake?
Wallah hiki kikombe cha Eliza lazima kinamhusu mmoja wetu.ha ha ah ha!.....
hii kesi ya hii aidii inabidi auziwe nani hii wajameni?
tupige kura kati ya hawa:
teamo
asprin
cpu
ld
askofu
Endelea kutoa povu!nani akutolee povu wewe kilaza? Tunajaribu tu kukusaidia kisaikolojia! Huyo mwanamke wa JF aliyekupiga bao ukiwa na mumeo kitandani anastahili pongezi!
pole wee kama huna story aongee na nani
Au watu wamekimbia na bill nini?
Acha kujiuza wewe kenge
Hahaha!! Babu banaa unajua Fidel alienda Fea Wei akamuhonga Eliza laptop matokeo yake ndiyo haya sasa amelog-in imekuwa balaaaWallah hiki kikombe cha Eliza lazima kinamhusu mmoja wetu.
Finest hatoki hapa! Ndo mtaalam wa haya madude ya dizain ya Mama Big!
Endelea kutoa povu!
hunijui sikujui, povu unamtolea nani sasa!!
unachekesha.
wewe ni mwanamke mpuuzi kuliko wote walio JF...waambie wenzako wakufundishe namna ya kuishi hapa Jamvini! hata wiki huna umeshaanza kutumia lugha za kwenye madanguro
kwani hujui mbona wewe umekimbiwa kwasababu tu ya avatar inaelekea mbaya wewe mwanaume anakukimbia kisa kadata na avatar ya jf ? Je akituona live si atakupa semi trela la talaka?mwanamke unaachwa??
Heee heee heee!!!umejitahidi sana, omba kazi kwa shigongo.
unijui sikujui. Mi mwenyewe mtaalamu.