OPTIMISTIC
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 125
- 20
View attachment 41149
Nimajuzi tu serikali ya Uingereza imesema wanawaweza kutunjima misaada kwa kuto heshimu haki za mashoga, kwa misingi ya haki za binadamu, lakini leo polisi wamedhiilisha ni kiasi gani hakuna haki za binadamu hapa nchi, polisi 9 wa kiume zidi ya mwanamke mmoja (udsm) mbaya zaidi huyo dada kashikwa shika kama mtu na mpenzi wake.
Hivi hatuna polisi wa kike kwenye matukio ya Ghasia? au nchi hii ukienda kinyume na matakwa ya watawala haki zako za binadamu zinapotea?
kabla ya haki za mashoga tuanze na ili watu wote hasa kina mama tuungane kupiga vita huu ujinga.
Inaoneka haya ni matendo yanayotokana na kitu inaitwa Inferiority complex yani police wetu ni loosers in both educational wise ni 7 or formIV failures na financially wanatisha! So wanapokutana na migomo be either students, workers au wafanyabiashara wanajaribu kujaza hilo gap kwa kuonyesha kuwa hata kama mmetuzidi kwa hili sisi tunaweza kwa hili!. Unless they get a better educ n better life we will still face same problem