VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
View attachment 41149
Nimajuzi tu serikali ya Uingereza imesema wanawaweza kutunjima misaada kwa kuto heshimu haki za mashoga, kwa misingi ya haki za binadamu, lakini leo polisi wamedhiilisha ni kiasi gani hakuna haki za binadamu hapa nchi, polisi 9 wa kiume zidi ya mwanamke mmoja (udsm) mbaya zaidi huyo dada kashikwa shika kama mtu na mpenzi wake.
Hivi hatuna polisi wa kike kwenye matukio ya Ghasia? au nchi hii ukienda kinyume na matakwa ya watawala haki zako za binadamu zinapotea?
kabla ya haki za mashoga tuanze na ili watu wote hasa kina mama tuungane kupiga vita huu ujinga.
Nimajuzi tu serikali ya Uingereza imesema wanawaweza kutunjima misaada kwa kuto heshimu haki za mashoga, kwa misingi ya haki za binadamu, lakini leo polisi wamedhiilisha ni kiasi gani hakuna haki za binadamu hapa nchi, polisi 9 wa kiume zidi ya mwanamke mmoja (udsm) mbaya zaidi huyo dada kashikwa shika kama mtu na mpenzi wake.
Hivi hatuna polisi wa kike kwenye matukio ya Ghasia? au nchi hii ukienda kinyume na matakwa ya watawala haki zako za binadamu zinapotea?
kabla ya haki za mashoga tuanze na ili watu wote hasa kina mama tuungane kupiga vita huu ujinga.