wanawake na wasichana wa dar..

Thread inafit kwenye udaku na mambo yasio serious. Ushambenga.

Si kweli na hii kauli ni ya kukataa ukweli kama sisiemu inavyuoulizwa jambo, mapema hulikataa na baadae inashindikana linaonekana laivu, wanakubali. Kama hauna habari subiri uhabarishwe. Aaala!
 
Ziondaughet said:
Haupo sahihi katika hili.Hili ni jambo serious kabisa.Hivi unategemea kijana ambaye hana discipline na mwili wake au hajipendi kwa kufanya mambo ambayo hayakubaliki katika jamii anaweza kuleta mabadiliko ya dhati katika nchi??!.Kwa sasa tuna-struggle kwa kila jinsi ili kuinasua Tanzania katika umasikini na aibu,na ikiwa vijana wakaachwa wanaangamia itakuwa ni tatizo jingine.
Vijana wa vyuo vikuu na walioko katika sekondari za mabweni ndio wapo pia katika hatari hiyo.Mimi nilisoma katika shule ya bweni na nilikuta mtindo wa kuchaguana familia kama baba ,mama na mtoto.kulikuwa na malalamiko kuwa wengine walikuwa wanapitiliza wanafanya kweli.Wakati huo sikuwa naelewa lakini sasa ndio naona hatari yake kwa mambo kama hayo yakiendelea sana yanajenga hisia kama mahusiano mengine na mwishowe ndio huo usagaji.

Si kweli na hii kauli ni ya kukataa ukweli kama sisiemu inavyuoulizwa jambo, mapema hulikataa na baadae inashindikana linaonekana laivu, wanakubali. Kama hauna habari subiri uhabarishwe. Aaala!

Narejea tena, thread hii pasi na takwimu inafit kwenye ushambenga.

Asanteni
 
sio kwamba hawajui au wanabisha kuwa haya mambo hayapo, wanafahamu fika kuwa yapo katika jamii yetu ila wanabisha ilimradi na wao wametoa mchango wao, maana ni haki zao pia. kwa hiyo mimi na wewe tunaojua kuwa hili tatizo lipo tuendelee kuwaelimisha na wengine kama walivyofanya wengine na wale wanaobisha kuwa sio kweli basi na waendelee na upeo wao huo wa kubisha. Lakini wajue kuwa watanzania wenzao, ndugu zao, jirani yako, kaka au dada yako wanashiriki au kufanya haya mambo aliyoyasema boss
 
....ni kweli inawezekana wanaongezeka .....sababu nina experience na mdada mmoja..yuko sexy and smart na ambaye ni msagaji miaka mingi iliyopita(ni jirani yangu)....ila siku hizi ninamuona anachukua mademu wakali sana...na mara nyingi huwa ni mademu tofautitofauti(sometimes wake za watu).......nimeshakutana naye sehemu kibao za starehe pamoja na strange...sometime hata kanisani huwa wanaongozana....just imagine!!!Nilishawahi kumuuliza mmoja wao (sometimes huwa tunahang'out nao kwenye joints za mtaani wakati wanamsubiri )...wanasema huwa kwa shughuli yake huwa wanakuwa fully satisfied ukilinganisha na most men sikuhizi wako selfish and not strong enough!!!!....vilevile ni salama zaidi kwao nk nk...hivyo inawezekana hiyo kweli ndiyo trend analysis......nilishikwa na butwaa lakini ndiyo najionea live.....
 
Haupo sahihi katika hili.Hili ni jambo serious kabisa.Hivi unategemea kijana ambaye hana discipline na mwili wake au hajipendi kwa kufanya mambo ambayo hayakubaliki katika jamii anaweza kuleta mabadiliko ya dhati katika nchi??!.Kwa sasa tuna-struggle kwa kila jinsi ili kuinasua Tanzania katika umasikini na aibu,na ikiwa vijana wakaachwa wanaangamia itakuwa ni tatizo jingine.
Vijana wa vyuo vikuu na walioko katika sekondari za mabweni ndio wapo pia katika hatari hiyo.Mimi nilisoma katika shule ya bweni na nilikuta mtindo wa kuchaguana familia kama baba ,mama na mtoto.kulikuwa na malalamiko kuwa wengine walikuwa wanapitiliza wanafanya kweli.Wakati huo sikuwa naelewa lakini sasa ndio naona hatari yake kwa mambo kama hayo yakiendelea sana yanajenga hisia kama mahusiano mengine na mwishowe ndio huo usagaji.

Hii Shule Zion ilikuwa ya mabinti watupu? !! Duh mimi ninakumbuka nilipoanza form one (njuka) tulikuwa na hii ila kulikuwa na baba wa kiukwelii na mama wa kiukweli so kama wewe umepangw achumba na mdada (usually walikuwaga wa Form five na six) ambaye anaye boyfriend unatambulishwa kabisa ukiingia chumbani huyu ndo babako so siku akija mwenyewe unatafuta kajisababu ka kutoka na kuacha nafasi kwa "wazazi" kuzungumza mambo yao ya kikubwa!!
 
....ni kweli inawezekana wanaongezeka .....sababu nina experience na mdada mmoja..yuko sexy and smart na ambaye ni msagaji miaka mingi iliyopita(ni jirani yangu)....ila siku hizi ninamuona anachukua mademu wakali sana...na mara nyingi huwa ni mademu tofautitofauti(sometimes wake za watu).......nimeshakutana naye sehemu kibao za starehe pamoja na strange...sometime hata kanisani huwa wanaongozana....just imagine!!!Nilishawahi kumuuliza mmoja wao (sometimes huwa tunahang'out nao kwenye joints za mtaani wakati wanamsubiri )...wanasema huwa kwa shughuli yake huwa wanakuwa fully satisfied ukilinganisha na most men sikuhizi wako selfish and not strong enough!!!!....vilevile ni salama zaidi kwao nk nk...hivyo inawezekana hiyo kweli ndiyo trend analysis......nilishikwa na butwaa lakini ndiyo najionea live.....

Duh stonng evidence. Swali kama wangekuwepo hapa- wanafaidije? bila kupata ile nyama unawezakuwa satisfied kweli? Ama kweli kua uyaone!
 
Mkuu veracity, nakuunga mkono sana. Kupata chanzo cha habari ni kitu muhimu sana ili kuweza kujua ukweli wa taarifa na hata kutathmini uhalisia wa mawazo ya mtu. Mara pengine mtu anaweza kutoa mawazo yake au taarifa akadhani kwa uelewa wake ni sahihi lakini kumbe kwa jamii sio sawa na anavyofikiria. Kwa iyo pamoja na kwamba unaweza ukawa unaona kuna tabia fulani miongoni mwa wanajamii inaweza isiwe imekomaa au kusambaa kwa wanajamii wengi kwa namna mtu anavyoidhania. Labda ni kwa baadhi tu wa watu.
 
....ni kweli inawezekana wanaongezeka .....sababu nina experience na mdada mmoja..yuko sexy and smart na ambaye ni msagaji miaka mingi iliyopita(ni jirani yangu)....ila siku hizi ninamuona anachukua mademu wakali sana...na mara nyingi huwa ni mademu tofautitofauti(sometimes wake za watu).......nimeshakutana naye sehemu kibao za starehe pamoja na strange...sometime hata kanisani huwa wanaongozana....just imagine!!!Nilishawahi kumuuliza mmoja wao (sometimes huwa tunahang'out nao kwenye joints za mtaani wakati wanamsubiri )...wanasema huwa kwa shughuli yake huwa wanakuwa fully satisfied ukilinganisha na most men sikuhizi wako selfish and not strong enough!!!!....vilevile ni salama zaidi kwao nk nk...hivyo inawezekana hiyo kweli ndiyo trend analysis......nilishikwa na butwaa lakini ndiyo najionea live.....

kwani wasaganaji hawawezi kupeana ngoma? kama mmoja wao tayari
anayo ngoma naamini anaweza mpatia mwenzake. ni fikira zangu tuu
 
...na wachache 'waliopo' wana prefer TiGo!...:) ngoja sikukuu ipite uone watavyokuja kwa kasi mpya...

unamaana wanaona bora kusagana kuliko kuunganishwa mtandao wa tigo! hehehehe
 
haupo sahihi katika hili.hili ni jambo serious kabisa.hivi unategemea kijana ambaye hana discipline na mwili wake au hajipendi kwa kufanya mambo ambayo hayakubaliki katika jamii anaweza kuleta mabadiliko ya dhati katika nchi??!.kwa sasa tuna-struggle kwa kila jinsi ili kuinasua tanzania katika umasikini na aibu,na ikiwa vijana wakaachwa wanaangamia itakuwa ni tatizo jingine.
Vijana wa vyuo vikuu na walioko katika sekondari za mabweni ndio wapo pia katika hatari hiyo.mimi nilisoma katika shule ya bweni na nilikuta mtindo wa kuchaguana familia kama baba ,mama na mtoto.kulikuwa na malalamiko kuwa wengine walikuwa wanapitiliza wanafanya kweli.wakati huo sikuwa naelewa lakini sasa ndio naona hatari yake kwa mambo kama hayo yakiendelea sana yanajenga hisia kama mahusiano mengine na mwishowe ndio huo usagaji.

good point.
 
....ni kweli inawezekana wanaongezeka .....sababu nina experience na mdada mmoja..yuko sexy and smart na ambaye ni msagaji miaka mingi iliyopita(ni jirani yangu)....ila siku hizi ninamuona anachukua mademu wakali sana...na mara nyingi huwa ni mademu tofautitofauti(sometimes wake za watu).......nimeshakutana naye sehemu kibao za starehe pamoja na strange...sometime hata kanisani huwa wanaongozana....just imagine!!!nilishawahi kumuuliza mmoja wao (sometimes huwa tunahang'out nao kwenye joints za mtaani wakati wanamsubiri )...wanasema huwa kwa shughuli yake huwa wanakuwa fully satisfied ukilinganisha na most men sikuhizi wako selfish and not strong enough!!!!....vilevile ni salama zaidi kwao nk nk...hivyo inawezekana hiyo kweli ndiyo trend analysis......nilishikwa na butwaa lakini ndiyo najionea live.....

mhhh.nitafurahi kuwaona na kupata nafasi ya kuwauliza maswali.
 
Mara nyingi yanayotendwa na watoto wetu,dada,kaka,shangazi,wajomba etc,hatuyajui ila laiti kama yangefahamika...........!!
Hivi vitendo vipo sana especially kwa vijana but the society keeps on deny abt its existance.Mwisho wa siku tunabaki kulaani yale ambayo tungerekebisha mapema.
Trust me kusagana kwa mabinti kupo sana tu!
 
yaani,hili ni swali zuri...

Walioolewa wanapata shida ya kutokuridhishwa na waume zao.
Wazee wanamaliza nguvu kwa vidada(vidosho) ,mzee akiombwa unyumba nyumbani kwake hatoweza kumridhisha mkewe.
Stress za maisha humfanya Baba ashindwe kumfikisha mkewe kileleni.
Mazoea- mkishazoeana hamu ya kufanya mapenzi na kutumia mbinu mpya hupungua.
Kitajachofuata: mama akipata msagaji ataweza kumkojolesha mara nyingi kadri awezavyo na hivyo kujenga tabia . Kumbuka usagaji ni two way trafic. Wananyo...nya. vcm mpaka wanafika tamati.
 
hivi vitendo vimeongezeka kwa kasi zamani tulikuwa tunasikia kama tetesi lakini sasa hivi wanajiweka wazi hadi kujitangaza ni mambo ya kusikitisha hasa kama mtu wako wa karibu dada yako,binamu anajishugurisha na mtindo huo
 
hivi hii tabia ya kusagana ni fasheni mpya imeingia mjini
au kuna tatizo kubwa limejificha?mbona wengi wanashiriki??
je wote ni ma lesb kweli au ni vipi?

Ni kweli tabia hii inakua kwa kasi kubwa sana ktk jamii, tena mbaya zaidi inaanzia kwenye umri mdogo kwenye mashule ya secondary etc, hawa wachache waliojifunza huko ndio wanaingiza wanawake wakubwa kwenye mambo haya, mie nafahamu mwanamke fulani, hupenda kuja kuuza vitu va urembo ofisini, lakini ukikaa vibaya utashangaa anakuchezea chuchu, mara akushike kiuno, kila mara hupenda mambo ya kumkumbatia mtu kwanguvuuu huku anakupumulia masikioni, mwanzoni nilikuwa simuelewi lakini siku hizi nimegundua ana nia mbaya sana, na ameshakapata kabinti fulani kasomi na degree yake, kila mara anakapitia ofcn anaondoka nako jioni, mie kuna siku nilimuita huyo binti nikamchania live kuwa najua yule mwanamke ni msagaji na amemuingiza huko binti alishtuka sana akanieleza ukweli kuwa alitaka kumfanyia ila hajawahi, lakini kitendo cha kuendelea kupitiana kinadhihirisha kuwa wanaendelea... sababu zinaweza kuwa nyingi ikiwemo kuiga utamaduni wa nje, wanawake kukosa 'wanaume', wanaume wamekuwa sio wakweli na ni wasumbufu sana kwa wesio na uvumilivu wanashindwa kuhimili, na bila shaka shughuli ile ni tamu maana wanazidi kuongezeka kila kukicha
 
Wasagaji lazima waongezeke maana wanaume wamepungua, isitoshe gharama kwa hao wachache waliopo zimezidi kuwa kubwa.

  1. unaanza na drink na kuku --anataka kunywa wine , or savana or henkel almradi ya ghali . hapo minimm ni 40,000
  2. Unakodi room --- cheapest 30,000
  3. Unatia mzigo , mkimaliza unamtoa , minimum 20,000
  4. Teksi ya kurudi kwao 10,000


Hadi hapo laki kweisheni.

Baada ya siku mbili anakutext please recharge me .

Baada ya siku mbili anatuma invoice .... oh mama mgonjwa, oh nadaiwa etc etc ali mradi anataka minimum 50,000

Total for one stance ...............150,000.

Wiki nyingine anataka , inayofuata anataka nakadhalika nakadhalika. mwisho wa mwezi unakuwa umemfanyia yeye kazi. Sasa kwa nini watu wasisepe? Wapunguze gharama watachukuliwa tu kimpango.
 
haya yote nafikiri yanatokana na malezi na maadili kuporomoka katika jamii. na hatuna misingi thabiti ya kupambana na haya majanga
 
Back
Top Bottom