makoye78
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 672
- 229
Is this proved in any way?hivi hii tabia ya kusagana ni fasheni mpya imeingia mjiniau kuna tatizo kubwa limejificha?mbona wengi wanashiriki??je wote ni ma lesb kweli au ni vipi?
Is this proved in any way?hivi hii tabia ya kusagana ni fasheni mpya imeingia mjiniau kuna tatizo kubwa limejificha?mbona wengi wanashiriki??je wote ni ma lesb kweli au ni vipi?
Wasagaji lazima waongezeke maana wanaume wamepungua, isitoshe gharama kwa hao wachache waliopo zimezidi kuwa kubwa.
- unaanza na drink na kuku --anataka kunywa wine , or savana or henkel almradi ya ghali . hapo minimm ni 40,000
- Unakodi room --- cheapest 30,000
- Unatia mzigo , mkimaliza unamtoa , minimum 20,000
- Teksi ya kurudi kwao 10,000
Hadi hapo laki kweisheni.
Baada ya siku mbili anakutext please recharge me .
Baada ya siku mbili anatuma invoice .... oh mama mgonjwa, oh nadaiwa etc etc ali mradi anataka minimum 50,000
Total for one stance ...............150,000.
Wiki nyingine anataka , inayofuata anataka nakadhalika nakadhalika. mwisho wa mwezi unakuwa umemfanyia yeye kazi. Sasa kwa nini watu wasisepe? Wapunguze gharama watachukuliwa tu kimpango.
Si kweli na hii kauli ni ya kukataa ukweli kama sisiemu inavyuoulizwa jambo, mapema hulikataa na baadae inashindikana linaonekana laivu, wanakubali. Kama hauna habari subiri uhabarishwe. Aaala!