Wanawake: Mnapokosea kudhani mnawaelewa wanaume………!

SI wajibu kwa kuwa hata mimi ananifanyia yale ambayo yeye ni the best at. Tuna complement each other. Mfano hubby ananinyoshea nguo, kitu ambacho mwingine anaweza akashangaa kwa kuwa amekariri kuwa ni wajibu wa mke kunyoosha nguo. He is good at that, why not? Unachoweza kufanya vizuri fanya na usichoweza basi mwenzio afanye.

Yaani 'things we do for LOVE' sio kufanya kwa shurti bali hiyari na upendo. Watu wengine huwa hawaelewi kuwa upendo ni kitu cha pekee sana na ukimpanda mke/mme wala haitakusumbua kumfanyia mambo ambayo wengine wanaona si majukumu yako. Mimi ni mkristo na ktk Bible imeandikwa 'nikitoa mali zangu zote kuwalisha masikini..nikitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo hainifaidii kitu' kupenda ni kutenda kwa kujali na hiyari hata yale yasiyo 'majukumu' yako. Ndio maana hata Mungu hamlazimishi mtu kutenda mema maana hiyo itakuwa ni kutenda pasipo kupenda ni sawa na utumwa tu. Ila unapotenda ktk upendo haijalishi jukumu ni la nani.
 
Yaani Nyumba kubwa hapo ndo utamu wa ndoa unapokolea 'things we do for LOVE' sio kufanya kwa shurti bali hiyari na upendo. Watu wengine huwa hawaelewi kuwa upendo ni kitu cha pekee sana na ukimpanda mke/mme wala haitakusumbua kumfanyia mambo ambayo wengine wanaona si majukumu yako. Mimi ni mkristo na ktk Bible imeandikwa 'nikitoa mali zangu zote kuwalisha masikini..nikitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo hainifaidii kitu' kupenda ni kutenda kwa kujali na hiyari hata yale yasiyo 'majukumu' yako. Ndio maana hata Mungu hamlazimishi mtu kutenda mema maana hiyo itakuwa ni kutenda pasipo kupenda ni sawa na utumwa tu. Ila unapotenda ktk upendo haijalishi jukumu ni la nani.

"KUPENDA NI KUTENDA KWA HIARI, TENA KWA UPENDO BILA SHURTI" laiti wanawake na wanaume wangeele maana hasa ya ulichokimaanisha katika hii koteshen matatizo ktk mahusiano ya ndoa yangeisha kabisa! Tatizo kubwa linalotukumba ni kutoona na kujua umuhim wa kumtendea mwenzako kwa "hiari na kwa upendo" wanawake wengi siku hizi wanalenga kushindana na wanaume (ubabe ubabe tu). Nyerere alisema, "play your part, it can be done" sasa leo mwenzetu kaongezea "with love" yaani; play your part with love, it can be done! Mwanaume ona kumpenda, kumthamini na kumjalia mkeo ndio jukumu lako kuu na litimize kwa upendo, vivyo hivyo na kwa mwanamke! Tusionyeshane ubabe, hauna maana katika mapenzi!
 
Back
Top Bottom