nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Kwenye maisha si kila unachopenda unapata. Ukilijua hilo hutagombana na mwenza wako. Hakuna mwanaume au mwanamke ambaye ni perfect labda ujitengenezee mwenyewe. Wanaoishi kwa furaha na amani ni wale wenye uwezo wa kukubali tofauti zao na kuzichukulia kama spices kwenye mapenzi yao. Hayuko smart hakumbuki hata fungua za gari kaweka wapi mimi opposite naakikisha kila kitu nimempangia kesho asiangaike; then tumekamilisha couple. Naongea kwa sana yeye mkimya, kwa nini kutokee ugomvi uso na suluhu. Anamwaga maji hovyo mimi ku deki ni one of my hobbies. Need I say more.
Unakuta mtu anamwambia mke/mume wake umezidi kuongea sana; hivi ulivyomuoa hukujua kama anaongea. Wakati mwingine ku point mapungufu ya wenzetu ni cover up ya tatizo kubwa lililopo; ambalo ni kuchokana.
Unakuta mtu anamwambia mke/mume wake umezidi kuongea sana; hivi ulivyomuoa hukujua kama anaongea. Wakati mwingine ku point mapungufu ya wenzetu ni cover up ya tatizo kubwa lililopo; ambalo ni kuchokana.