Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,058
umeona eeeeh wanaume wamebaki wachache sana duniani
Wanaume weng marijal, mashababi wachache mwayaaa
umeona eeeeh wanaume wamebaki wachache sana duniani
Paniki at work
Nipo tayari kukabiliana na nyie ila ukweli nitawaeleza tu!
Sio lazima lakini mnapoelezwa punguzeni Omo!
Kujipodoa jipodoe sana tu, lakini ukitoka nyumbani hakikisha umemaliza hiyo kazi!! Tabia ya kutembea na vipodozi kama unaviuza haipendezi!!!!
Usiwe mjinga, anayekwambia ukweli anataka ujirekebishe!!! hajakutukana.
Hahaaaa binam wametuandama hawa watuu awajui ka wanaume zetu hupenda tunavojipodoa na watuache miaka buku
Yani acha tu my cousin ni shida kila tunachofanya ni kosa jema kwao sijui ni nili hata nashindwa kuwaelewa kujipodoa siachi ng'o hata wapige matarumbeta
Wote mliokubaliana na hii maada uckute videmu vyenu
1. sura ka wanapuriza moto...sura zao ka nyuma ya sufuria linalopikiwa kwenye kuni....
2.miguu imepinda
3.umbo kama kabati
4.mata..ko flat
Na mkome kuleta upuuz wenu humu mkawaambie mademu zenu mitaan kwenu kwan mnvotuambia ss ili itusaidie nn coz mnavoongea hakuna kinachobadilika kwetu, mwanaume wangu anavonisifia inatosha.....kaz kuandika upuuz tu umu
Ukwel mkawaambie wanawake zenu babuuu eee sie wanaume zetu wanapendaa tujipodoeee ....we unaona kama ukwel kwakoo bt ni ujin.ga kwetu na cjui n kwann inawauma sanaa tujipodoavyoo
Wanawake wote walioipinga hii mada ni kwa sababu zifuatazo:
1)Wamewahi kufanya kazi ya ukahaba kipindi cha nyuma.
2)Sasa hivi wanafanya kazi ya ukahaba.
3)Wana marafiki/ndugu zao wa karibu ambao wanafanya kazi ya ukahaba.
Mojawapo au zote ya sababu hizo hapo zimetokea.
Weee si ndio tulikutana pale tanki bovu kwenye ile hotel tena uctake nikutolee siri ulikua na mwanaume mwenzio bila hata haya mtoto wa kiume ukaenda geuzwa badili tabia weyeee......WANAUME WANAOGEUZWA UTAWAONA TUU KUWEKA MADA ZA KIJINGA
Wanawake wote walioipinga hii mada ni kwa sababu zifuatazo:
1)Wamewahi kufanya kazi ya ukahaba kipindi cha nyuma.
2)Sasa hivi wanafanya kazi ya ukahaba.
3)Wana marafiki/ndugu zao wa karibu ambao wanafanya kazi ya ukahaba.
Mojawapo au zote ya sababu hizo hapo zimetokea.
Afu nlichogundua wanaume wanaoandika ujinga umu mda wote wanashinda jamii forum sijui kaz wanafanya saa ngapi?...nahis ndio wale wanaogeuzwa na wanaume wenzao
Hehehehehehe!!!!!!!!
message is sent and delivered!!!!
Jikaze, mkuki ni lazima ukite moyoni.
@AshaDii........ Siku ukisikia kuna Shajara za Ulimbwende, nakuomba uende ukaangalie jinsi Wanyange walivyojisiriba vipodozi na Lebasi mwili mzima, yaani utadhani ni waganga wa Maruhani...............
bora niende jukwaa la siasa manake yaliyokuwa humu syawez