Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

kantang'aze yaani naona mleta huu uzi amepiga wanzuki ndo akaja hapa maana naona wakati aandika thread mikono ilikua yamtetemeka amelikoroga ngoja alinywe mxuuuu!

Thubuthuuu siwakohoi hawantsh.tena m ndo mjpodoaj namba moja.chedhea na ngoz ya dhahabu mswahl nusu mwarabu.najpodoa mpaka waombe poo.kwanza wao wenyewe wanawataka wachafu?? Hao hao wanaojpodoa ndo wanao wamendea.haihusu waka haihusian.waende huko mxyuuuuuu
 
Last edited by a moderator:
Naelewa sana kwamba wanawaudhi lakini hukupaswa kufika mbali hivyo..Usiruhusu moyo wako kupata dhambi zisizo za lazima mimi naomba kesho urudie post zako zote pengine kwa sasa hautaweza kuona unafanya nini kutokana na emotions and may be weekend factors...Mimi binafsi nikimuona mwanamke anatukana the way unavyofanya namjengea taswira fulani ambayo siwezi kuifuta kamwe...Plz be as smart as your ID...Itendee haki...reflect your ID..!
pole!
utajikuta tu siku nyingine utaniona id yangu inavyofanana na nachoandika!
 
jifunze kukubaliana na ukweli itakusaidia sana kwenye maisha yako.

nataka uendelee kuniquote na zile lugha!
uone navoweza kucheza la maneno nitakavyo!
mnapenda sana kuongeleshwa kiustaarabu ilhali hamuwezi kuwaongelesha watu kiustaarabu!
twende tu!
 
Twende zetu siasani mama...hapa siku hizi hapana mvuto kabisaaaaaa!!! Umemuona yule mbuzi wa porini Mwigulu anasema 'Tanzania hoyeeee' hiyo ndo slogan yake mpya halaf kajiita rais wa Singida eti..!

Aisee ni kweli bora kule huku michosho na mipasho ya taarabu huyu Mwigulu mzinguaji tu anafikiri watu wanadaganyika sijui kawafanyia nini wana Singida nimemuona hakuwa na jipya
 
Last edited by a moderator:
Kwani lazima uhamishie duka la vipodozi kwenye mkoba wako?
Jipodoleeni nyumbani

Hivi Kibo 10 huwa unapanda 55 kweli ww? hiyo adha yake nn kubeba vipodozi kwenye handbag, tunabebe mpaka uzi na sindano na sandals!! labda ww mkeo anausafiri full kiyoyozi na ofcn kwake kadhalika.Na joto la Dar waweza fika ofcn kituko bila kuwa na vipodozi vya ziada.Tumeumbwa kujipenda wanawake na wala kubeba vipodozi c umalaya, umalaya ni hulka ya mtu hata km hajabeba leso km ni umalaya atafanya tu.
 
Mkuu dats y wanatembea na mapochi makubwa n wew unatembea na wallet..Mwanamke urembo bna..umewakosea sana.kachungulie pochi ya ur sistr kam utakuta madaftar
 
Mkuu dats y wanatembea na mapochi makubwa n wew unatembea na wallet..Mwanamke urembo bna..umewakosea sana.kachungulie pochi ya ur sistr kam utakuta madaftar

Kwa hiyo stand poa kwenye daladala poa kwenye bajaji poa kwenye vikao n.k.hii sikubaliani nayo mkuu
Wajirembe watakavyoweza lakini wazingatie na maeneo
Maana wenye tabia ya kutokuzingatia maeneo ni "malaya"hiyo ipo wazi mkuu.
 
Acha tujipodoe kwa raha zetu ndo mana tukaubwa wanawake that why unaona hivo.vitu acha nature zetu zishape zenyewe ndo mana kutembea na.vipodozi kwa mwanamke ni jambo la kawaida sana mwanamke urembo babu eeh.hasa ukiwa mrembo hafu kujiremba haihusishi malaya point of correction eti ma..ya haihu..

Hahaaaa binam wametuandama hawa watuu awajui ka wanaume zetu hupenda tunavojipodoa na watuache miaka buku
 
Back
Top Bottom