mbona wanaume wanafanya ngono nje ya ndoa.
mbona wanaume wanafanya ngono nje ya ndoa.
mbona wanaume wanafanya ngono nje ya ndoa.
wakati wanafanya ngono wewe unakuwa ukifanywa nini??
Kweli kuku ni kuku tu... Post nne ushaachia ushuzi??
Umefulia mazee
Wakati wanafanya ngono wewe unakuwa ukifanywa nini??
Kweli kuku ni kuku tu... Post nne ushaachia ushuzi??
UMEFULIA MAZEE
mbona wanaume wanafanya ngono nje ya ndoa.
mbona wanaume wanafanya ngono nje ya ndoa.
Wakati wanafanya ngono wewe unakuwa ukifanywa nini??
Kweli kuku ni kuku tu... Post nne ushaachia ushuzi??
UMEFULIA MAZEE
hahahhahahahha MTN you are tooo rude!Wakati wanafanya ngono wewe unakuwa ukifanywa nini??
Kweli kuku ni kuku tu... Post nne ushaachia ushuzi??
UMEFULIA MAZEE
Yote haya yanatokea kwa sababu ya mfumo dume. Wanaume wengi wanaona ni jambo la kawaida, na pengine la kujisifia badala ya kuona kwamba wanakosea.Nafikiri swali lake ni kama hivyo alivyoelezea Agika. Na ni kweli wanaumme wanatoka nje ya ndoa zaidi ya wanawake. Yaani kutoka nje ya ndoa imekuwa kama part ya ndoa. Mtu anakuwa na mchumba huku bado ana kimada, mpaka anaowa , anaendeleza tuu
mume kufanyana nje ya ndoa sana huchangiwa na mabinti wenyewe kwa sababu mabinti wengi wakati huu hutaka wa2 ambao majukumu wanayaweza na ukionyesha kuwa mke wako unamlisha na kumvisha vizuri,sio siri watajileta wenyewe tu wa kula utachagua mwenyewe.