Usijali na wewe unaelekea hukohuko kisha utafaidi!
bibie hi hi kwaya ya jf inanitosha
santeee...missed you too...mzima weye?Jamani nimekumiss mweeeh
hio midogo kabisa and in the mean time ongeza juhudi kwenye mambo mengine ya muhimu kama elimu au kazi!kabisa sijui utanisubiri maana bado miaka miwili tu nifike ..nikikukuta safiri inaendele
....... Move it!
haaaaaaa ha ha umenifurahisha sana man... mimi nataka kuweka ndani, wanasema eti ukizaa umezeeka unazaa vilazaaaaaahaa! we si unaogopa huo msimamo wa 30+ only wanted?...mimi nawabadilishaga mawazo tuu mwisho wa siku napata ninachotaka baaasiiii
Usikae chini ukanyoosha miguu kusubiri. Tafuta vijana wenzio, jiunge na kwaya ama community club yoyote. Move it!